Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Siogopi kitu, huwezi jua huko mbeleni, Network nyingine zikawa mwisho kuwa hewani saa kumi na mbili jioni na TTCL zikawa zinaruhusiwa kuwa hewani 24/7......nimewaza tu....
Ukitaka kuwakomesha....unasajili unaitumia kuanzia saa 1:30 asb - 9:30 alasiri. Baada ya hapo unalizima li line lao unaendelea na line zako zingine
 
Serikalini si wamezuia matumizi.ya.simu kwa masaa za kazi? au hizo ni simu za ofisini au kila mtumishi? sijaelewa kitu hapo kwamba matumizi ya ki serikali make najua ofisi za serikali wanazo zile simu za mezani na watumishi wanazo simu za mkononi.

Ni simu zipi zinaongelewa za mkononi au mezani?
 
No such a thing man. Otherwise labda iwe communizt country. Mitandao mingine itakuwa palepale kama kawa.
Siogopi kitu, huwezi jua huko mbeleni, Network nyingine zikawa mwisho kuwa hewani saa kumi na mbili jioni na TTCL zikawa zinaruhusiwa kuwa hewani 24/7......nimewaza tu....
 
Aiseee!!!

Hizi ni dalili za kufikia nchi ya uchumi wa kati!!!!

Hakika Mkulu ni mbinufu na anaweza!

Private sector mpo?

Alafu hapa naomba kuuliza,kutatungwa sheria ya kulazimisha watumishi kuweka muda wa maongezi kwenye hizo line?!!!

Na je,watakuwa wanafuatilia kujua kila mtumishi kaongea jambo gani ili kujua kama katumia line sahihi au laa?

Na je,sheria za nchi zinaruhusu hii kitu?

Na mtumishi ambae atatumia line ya simu za makampuni binafsi kufanya mawasiliano ya simu kwa shughuli za kiserikali, atakuwa amevunja sheria gani ya nchi au taratibu ipi ya utumishi wa umma?

Teh teh teh teh teheeeeeeeeeeeee!!

Tanzania oyeeeeeeeeeeeeee
 
‘...Watu wachache kwa Maslah yao walikusanyika Zanzibar 1992 na Kuua Azimio la Arusha, Tunataka Rais wa kuja kuhuisha Azimio lile na kila tunapopita Wanyonge wanatuuliza kuhusu Azimio la Arusha ‘- Mzee Joseph Sinde Warioba Kigoda cha Mwl Nyerere 2014
 
Back
Top Bottom