Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Mkutano wa Mkurugenzi wa Habari Maelezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas pamoja na Waandishi wa Habari

>>> Suala kwamba Serikali imeagiza Watumishi wa Umma kuwa na laini ya TTCL si sahihi, Rais Magufuli alikuwa wazi kuwa viongozi wanaohudumiwa stahili ya simu watapewa vocha za TTCL lakini hakuna agizo la ulazima kwa watumishi wengine
 
Mkutano wa Mkurugenzi wa Habari Maelezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas pamoja na Waandishi wa Habari

>>> Suala kwamba Serikali imeagiza Watumishi wa Umma kuwa na laini ya TTCL si sahihi, Rais Magufuli alikuwa wazi kuwa viongozi wanaohudumiwa stahili ya simu watapewa vocha za TTCL lakini hakuna agizo la ulazima kwa watumishi wengine
Kumbuka habari ya vitambulisho vya wanaoitwa wajasiriamali:mwanzo ilidhaniwa ni kwa ajili ya machinga.

Kinachoendelea sasa?Wauza mbogamboga, wachoma mahindi,bodaboda na kila afanyaye biashara ndogo ndogo.

Mfano halisi:Fuatilia yajayo Iringa na kwingineko, yanafurahisha.
 
...gawio litaenda kwenye miundo mbinu siyo mishahara..
Miundombinu wewe haikuhusu?Halafu unajuaje kwamba hela ya TTCL haikufikii,maana hela yote ya serikali inaingizwa kwenye kapu kuu la hazina.

Fungukeni jamani,ni nani atajenga hii nchi kama sio sisi wenyewe Watanzania?Hata kama Rais kakufanyia nini,which I don't see,kwa kuwa kila analofanya Rais anafanya kwa nia njema.Halafuu,yeye ni mpita njia tu,leo yupo kesho hayupo.
 
Rudini nyumbani kumenoga. Pata vifurushi vya bei nafuu kabisa ukiwa na mtandao wetu wa TTCL.
Kwa buku tu (TZS.1000/=) Napata dakika 45 mitandao yote bila kikomo nikiwa Zantel na Coverage ya uhakika ni 80% ya mikoa yote nchini.

Hebu jipangeni vyema na huo mtandao wenu maana hata nyumba ikiwa fenced network inakata.
 
Miundombinu wewe haikuhusu?Halafu unajuaje kwama hela ya TTCL halikufikii,maana hela yote ya serikali inaingizwa kwenye kapu kuu la hazina.

Fungukeni jamani,ni nani atajenga hii nchi kama sio sisi wenyewe Watanzania.Hata kama Rais kakufanyia nini,which I don't see,kwa kuwa kila analofanya anafanya kwa nia njema.Halafuu,yeye ni mpita njia tu,leo yupo kesho hayupo.
...utajengaje nchi wakati wafanyakazi wako wananjaa?,..unakuwa huna tofauti na baba anayejenga majumba wakati nyumbani haachi hata shilingi.,..ili kufanya yotehayo ilikuwa lazima vipaumbele viwepo.,..zaidi ni kujitafutia laana tu.
 
Back
Top Bottom