Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Tatizo liko wapi hapo? Kama tuna nia ya kweli ya Kuliinua Shirika letu la Simu na Kuliwezesha na Kulipa Hadhi yake kuna tatizo gani Wateja wake wengi wakiwa ni Watumishi wa Serikali ambao wanaweza wakawa wanazitumia hizo ' Line ' hasa kwa Shughuli zao za Mawasiliano ili mwisho wa Siku gharama zirudi huko huko Serikalini na hizo Pesa zitumike katika Kuliboresha zaidi Shirika na Faida yake ambayo baadae hutolewa kuwa ' Gawio ' Serikali Kuu iweze Kutumika katika Kufanya mambo mengine ya Kimaendeleo kwa nchi yetu hii? Hivi Watu wengine huko Shuleni au Vyuo Vikuu mlienda Kusoma kweli au Kujifunza tu namna ya Kuvuka Barabara na Kutawaza Maliwatoni?
Kwa hiyo wewe unajiona una akili sana? Kama shirika limekuja kutoa huduma hapo ni sawa ,lakini kama limekuja kufanya biashara na kutengeneza faida hii ni ngumu sana kwa shirika uma ,uzoefu unaonesha mashirika ya uma huwa hayafanyi vizuri kwenye biashara ukilinganisha na sekta binafsi.
 
Nashauri serikali imkate kila mtumishi Tsh 6000 kila mwezi kisha imuingizie kama vocha kupitia hiyo line ya TTCL atakayosajiliwa!Hii itawaondoa wale ambao wana mpango wa kusajili na kuweka kabatini hizo line,hahahahaaa,TTCL oyeeeeeee,watumishi Oyeeeeeee!!!!
 
Maumivu ya kichwa huanza taratibu....ushahidi huo hapoView attachment 1111675View attachment 1111676
Unashangaa kitu gani? Mbona ni kitu cha kawaida. Mbona miradi ya USAID kuna circular inasema mfanyakazi wa mradi au USAID lazima ukitaka kusafiri upande ndege za US yaani US flag?? La sivyo utapata audit query!! Usishangae mkuu ni vitu vya kawaida duniani hasa makazini.
 
‘...Watu wachache kwa Maslah yao walikusanyika Zanzibar 1992 na Kuua Azimio la Arusha, Tunataka Rais wa kuja kuhuisha Azimio lile na kila tunapopita Wanyonge wanatuuliza kuhusu Azimio la Arusha ‘- Mzee Joseph Sinde Warioba Kigoda cha Mwl Nyerere 2014
Wanasukumwa na wivu na uvivu, dunia ya utandawazi alafu unaleta mambo zama za ujima
 
Unashangaa kitu gani? Mbona ni kitu cha kawaida. Mbona miradi ya USAID kuna circular inasema mfanyakazi wa mradi au USAID lazima ukitaka kusafiri upande ndege za US yaani US flag?? La sivyo utapata audit query!! Usishangae mkuu ni vitu vya kawaida duniani hasa makazini.
USAID wa Karagwe anapataje ngege ya US, kuja DAR acha porojo dogo, uchumi unakufa
 
Hii inafanya kazi kama unalipiwa kwa hela za US govt ila kama unajilipia toka other sources sio audit query. Sasa hizo line watatupa na vocha? Jpm alitaka wale wanaolipiwa hela za mawasiliano ndo wawe na laini za ttcl
Unashangaa kitu gani? Mbona ni kitu cha kawaida. Mbona miradi ya USAID kuna circular inasema mfanyakazi wa mradi au USAID lazima ukitaka kusafiri upande ndege za US yaani US flag?? La sivyo utapata audit query!! Usishangae mkuu ni vitu vya kawaida duniani hasa makazini.
 
Back
Top Bottom