Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

Hebu tuangazie basi hiyo elimu ya photography ili tujue jinsi ya kutafsiri picha hii
Mbona comment yangu pia imetoka elimu kidogo kuhusu picha!!! Kwa elimu zaidi basi tuanzishe thread kwenye JUKWAA la Elimu.
 
Huu ni MWISHO wa MWISHO wa CCM. Kuna siku walikosa wahudhuriaji wakawaamuru walimu wafunge shule wawalete wanafunzi mkutanoni ili kujazia mkutano. Nikifika kwenye kompiuta yangu nitawatumia picha. Hii ni aibu xa mwaka kwa CCM. Wanapaswa kusoma alama ya nyakati. Wananchi wa siku hizi hawadanganyiki hata kidogo.
 
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa

mpuuzi mkubwa, kama ulikuepo basi tuonyeshe walipofika hali ilikuwaje wewe kenge!
 
Siku nyingine ujaribu kupiga picha angalau muda mfupi kabla ya mkutano kuanza ili tukuelewe manake hii picha umepiga saa nne asubuhi wakati watu wanafanya maandalizi hata jinsi watu walivyosimama hapo unaona kabisa kuwa hakuna mkutano unaoendelea...shame on u..!!

We kilaza kweli angalia vizuri jua lilipo na kivuli kilipo ndio u comenti, hivi ninyi vibalaka wa CCM mkoje mnapinga hata kitu kilichowazi. We naona somo la jiogeafia lilikupita kushoto kama ulibahatika kwenda shule
 
Hapa elimu ya photograph inahusika. Ukikosa muda kwenye picha, tizama kivuli na mwelekeo wa JUA. Yatosha.

Waambie kwa kizungu inaitwa photography Interpretation hahaha; hawa ni vilaza kweli wanashondwa hata kusoma vivuli
 
attachment.php

attachment.php

attachment.php
[/QUOTEhiii chuki binafsi mbona picha imechukuliwa wakati wananchi hawapo

Watoke wapi? Nani anahudhuria mikutano ya maCCM?
 
Huu ni uongo uliopitiliza kama kawaida yenu mmechemsha , hapa ilikuwa kabala ya kikao
 
Kuna siku nape aliitisha mkutano akaishia kuwahutubia waandishi wa habari na wapiga picha tu. Magamba kwishney!
magamba wamepigika.jpg
 
oooky weka facts zako tupime nani kilaza tuna wait......................
 
Back
Top Bottom