Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

Mkuu Pisto Lera, kwanza asante kutuletea hii!, pili its just too good to be true!. Picha itakuwa imepigwa kabla ya tukio!.
Msitumie uongo na ghilbu kujenga very high expectations za matumaini ya uongo!.
Najitahidi sana kuwa mkweli toka kwenye nafsi yangu, uongo kama huu, sio tuu haujengi, bali hausaidii zaidi ya kujenga matumaini hewa na kujifariji tuu!.
Pasco

Moja ya sifa kuu ya great thinker ni data (evidence) wao wameleta picha ya maandalizi ya mkutano wamalize kwa picha ya mkutano wenyewe
 
ha ha ha! bado wanashikana mashati wana deni la UDA kupeleka watu UDASA kwenye mdahalo wajanja wamekula bingo chezea magamba wewe

Magamba ni wapuuzi mno sijapata kuona...yaani magamba yote ina maana hakuna mwenye akili hata mmoja? Ndio maana sumaye amejiweka kando
 
Moja ya sifa kuu ya great thinker ni data (evidence) wao wameleta picha ya maandalizi ya mkutano wamalize kwa picha ya mkutano wenyewe

Nani aliwaambia msipike wali na kusomba watu na malori?
 
Hapa elimu ya photograph inahusika. Ukikosa muda kwenye picha, tizama kivuli na mwelekeo wa JUA. Yatosha.

Duh! mkuu umenikumbusha mbali paper ya geography section ya photograph interpretation moja ya maswali enzi hizo ilikuwa kutaja muda picha ilipochukuliwa asubuhi, mchana au jioni. mshukuru mwalimu wako wa geography uko vizuri
 
huu ni mkutano wa ccm jioni hii segerea mwisho,wamejikuta ni viongozi na wamama wa kuhesabu kama tunavyoona,viti vyote viko wazi pamoja na kupiga muziki kutwa nzima ya leo,nyie watu someni alama za nyakati......

Mpaka tunatoka eneo la tukio hakukuwa na mwananchi yoyote alie jitokeza zaidi ya viongozi wa ccm na wakezao.

Tizama jua linavyo sogea bila matumaini

mene mene tekeli na peresi
 
Mkuu Pisto Lera, kwanza asante kutuletea hii!, pili its just too good to be true!. Picha itakuwa imepigwa kabla ya tukio!.
Msitumie uongo na ghilbu kujenga very high expectations za matumaini ya uongo!.
Najitahidi sana kuwa mkweli toka kwenye nafsi yangu, uongo kama huu, sio tuu haujengi, bali hausaidii zaidi ya kujenga matumaini hewa na kujifariji tuu!.
Pasco
weka yako mkuu!
 
Leta picha ya muda wa tukio tukuamini

I do sometimes accuse people of ignorance, but that is not intended to be an insult,mtu kama wewe unataka jibu gani?mimi sikuwepo huko kwenye mkutano nitapata wapi picha?
 
Huu ni uongo mkutano ulikuwa saa 10 jioni ,picha umechukua saa 2asubuhi.
 
watu wengine wanapinga halafu hawana details, nadhani huo mkutano haukuwa na ela na magari ya kuwabeba ndio maana umedoda, lazima siku nyingne wajifunze hao.
 
Hizi picha za kabla ya mkutano! haya tuletee picha za mkutano na za baada ya mkutano! Asante!
 
HEBU NIAMBIA KWENYE PICHA HAPO CHINI KITI KIPO WAPI?

1897.jpg

Sorry I can't argue no more with lunatic
 
Mkuu Pisto Lera, kwanza asante kutuletea hii!, pili its just too good to be true!. Picha itakuwa imepigwa kabla ya tukio!.
Msitumie uongo na ghilbu kujenga very high expectations za matumaini ya uongo!.
Najitahidi sana kuwa mkweli toka kwenye nafsi yangu, uongo kama huu, sio tuu haujengi, bali hausaidii zaidi ya kujenga matumaini hewa na kujifariji tuu!.

Pasco

nashukuru sana ila dhibitisha uongo wangu.
 
I do sometimes accuse people of ignorance, but that is not intended to be an insult,mtu kama wewe unataka jibu gani?mimi sikuwepo huko kwenye mkutano nitapata wapi picha?

Kama hukuwepo kwanini unasema hiyo picha ilipigwa muda kabla ya tukio??
 
Back
Top Bottom