Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,627
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
Leta picha ya muda wa tukio tukuamini
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
jenga hoja acha kubwabwaja. muoneshe kuwa jamaa ni kilaza na ana chuki binafsi kwa kuonesha picha yenye watu sasa baada ya kuja kwenye mkutano. great thinkers argue with facts.
Mkiambiwa kuwa chama chenu kimechokwa na wananchi mnabisha wenzenu wanapofanya mikutano wananchi ndio wanaowasubiri viongozi wafike.Tofauti na chama chenu cha CCM ambapo viongozi wenu ndio wanaowasubiri wananchi wafike.
Kwani kuna kiongozi hapo?
Just because you are intelligent or have great knowledge does not mean you can think critically
Watabaki kutumia pesa nyingi na nguvu za vyombo vya dora for nothing! Wasubilie 2015 na wafanye uhuni wao ndo wajue watanzania wanavyoweza kukasilika! Wanaishi kwa ujanja tu...
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
![]()
![]()
[/QUOTEhiii chuki binafsi mbona picha imechukuliwa wakati wananchi hawapo![]()
Tuwekee inayoonyesha wananchi wapo na wamekaa kwenye hivyo viti, tofauti na hapo wewe ndio utakuwa na chuki na mleta mada
Ndio umefiwa na lichama mfu magamba
Mkuu Pisto Lera, kwanza asante kutuletea hii!, pili its just too good to be true!. Picha itakuwa imepigwa kabla ya tukio!.Huu ni mkutano wa ccm jioni hii Segerea mwisho,wamejikuta ni viongozi na wamama wa kuhesabu kama tunavyoona,viti vyote viko wazi pamoja na kupiga muziki kutwa nzima ya leo,Nyie watu someni alama za nyakati......
MPAKA TUNATOKA ENEO LA TUKIO HAKUKUWA NA MWANANCHI YOYOTE ALIE JITOKEZA ZAIDI YA VIONGOZI WA CCM NA WAKEZAO.
TIZAMA JUA LINAVYO SOGEA BILA MATUMAINI
Huu ni mkutano wa ccm jioni hii Segerea mwisho,wamejikuta ni viongozi na wamama wa kuhesabu kama tunavyoona,viti vyote viko wazi pamoja na kupiga muziki kutwa nzima ya leo,Nyie watu someni alama za nyakati......
MPAKA TUNATOKA ENEO LA TUKIO HAKUKUWA NA MWANANCHI YOYOTE ALIE JITOKEZA ZAIDI YA VIONGOZI WA CCM NA WAKEZAO.
TIZAMA JUA LINAVYO SOGEA BILA MATUMAINI
Na bado watasanda.
Hahaha hahaha hahaha dah kubeba watu na malori ni dharau kubwa sana...wangekodi hata ma bus magamba bwana ni wahuni..kuanzia mwenyekiti wao, katibu wote wahuni, ila nasikia wanawapatia na tshs 3,000 juu kila anaye bebwa na malori
​kwani hawakupika wali