Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

Halafu wanasema wanawakilisha walio wengi. waangalie maudhurio ya wachache kibandamaiti!

Leo fuso zimekosa wa kusomba HONGERA WATANZANIA KILA UCHAO MMNAUPATA UKWELI
 
Wakereketwa wa lumumba mko wapi Ifweero, Faizafox, Msalani, MwanaDiwani nk chama kinapigwa mawe huku
 
Huu ni mkutano wa ccm jioni hii Segerea mwisho,wamejikuta ni viongozi na wamama wa kuhesabu kama tunavyoona,viti vyote viko wazi pamoja na kupiga muziki kutwa nzima ya leo,Nyie watu someni alama za nyakati......

MPAKA TUNATOKA ENEO LA TUKIO HAKUKUWA NA MWANANCHI YOYOTE ALIE JITOKEZA ZAIDI YA VIONGOZI WA CCM NA WAKEZAO.

TIZAMA JUA LINAVYO SOGEA BILA MATUMAINI

Siku nyingine ujaribu kupiga picha angalau muda mfupi kabla ya mkutano kuanza ili tukuelewe manake hii picha umepiga saa nne asubuhi wakati watu wanafanya maandalizi hata jinsi watu walivyosimama hapo unaona kabisa kuwa hakuna mkutano unaoendelea...shame on u..!!
 
tizama hizo picha vizuri usisahau pia kutizama jua linavyo songa kisha uwapelekee salam zao huko lumumga

Kwa akil hiz ndo maaana hamtokuja ingia magogon nyie,vichaaa sio vichaaaa wadhambi sio wadhambi cjui huko ufipa nmakulishwa nn tu,pooor pro CDm


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨uuuu
 
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
jenga hoja acha kubwabwaja. muoneshe kuwa jamaa ni kilaza na ana chuki binafsi kwa kuonesha picha yenye watu sasa baada ya kuja kwenye mkutano. great thinkers argue with facts.
 
Huko nako wameanza kuamka zitakosa wapandaji karne ya 21 ubebwe kwenye fuso umekuwa ng'ombe


Hahaha hahaha hahaha dah kubeba watu na malori ni dharau kubwa sana...wangekodi hata ma bus magamba bwana ni wahuni..kuanzia mwenyekiti wao, katibu wote wahuni, ila nasikia wanawapatia na tshs 3,000 juu kila anaye bebwa na malori
 
Posho ya kujikimu, Usafiri wa Malori na Daladala haikuwepo? ... Wasanii wa Bongo Flavor hawakuwepo?... Huu ni Mwaka wa Malaika kwa Watanzania... Shetani CCM anakata roho Muda si mrefu ...
attachment.php

attachment.php

attachment.php
 
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa

Picha hizo in za kweli kabisa hapo no segerea mwisho shule ya migombani...Leo wamepiga mziki kuanzia SAA 1 asubuhi hakuna watu waliokuwepo zaidi ya wanawake wachache
 
Siku nyingine ujaribu kupiga picha angalau muda mfupi kabla ya mkutano kuanza ili tukuelewe manake hii picha umepiga saa nne asubuhi wakati watu wanafanya maandalizi hata jinsi watu walivyosimama hapo unaona kabisa kuwa hakuna mkutano unaoendelea...shame on u..!!
kwa maelezo yake kasema amepiga picha kwa muda tofauti tofauti mpaka jua linazama hakuna watu. i you want to prove him/her wrong, leta picha ilojaa watu maeneo hayo. watu tutajua mleta mada ni muongo na mzandiki. otherwise, we ndo muongo na unabwabwaja tu bila hoja.
 
Picha hizo in za kweli kabisa hapo no segerea mwisho shule ya migombani...Leo wamepiga mziki kuanzia SAA 1 asubuhi hakuna watu waliokuwepo zaidi ya wanawake wachache

Magamba aka chama cha malori hahaha
 
Back
Top Bottom