Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

No, huwa nakula baada ya kuingiza siku and not before, nile na-celebrate nini...consumtion?
Ambayo ningekula walishaichukua kwenye mshahara wangu as income tax na kuipeleka kwenye posho na kubebea watu kwenye malori na kuwapeleka kwenye mikutano, kukodishia vipasa sauti bungeni.......!

I'm not a fan of flat taxes.In tz wealthier people pay 45% I don't think that figure should be reduced.I think all taxes should be based on income.Sales taxes unfairly affect the poorest in society,as it costs them a far higher proportion of their income
 
I'm not a fan of flat taxes.In tz wealthier people pay 45% I don't think that figure should be reduced.I think all taxes should be based on income.Sales taxes unfairly affect the poorest in society,as it costs them a far higher proportion of their income
type of the tax is not a problem! matumizi yake ndo problem...get it?
 
ngorope sijui nguruwe,wewe nimegundua ni housegirl wa mnyika ndani,unatetea ujinga ujinga wa chadema hapa jf,tazama picha vema imepigwa kabla ya mkutano hujaanza na huyo mnywa viroba mwenzako,ccm inapendwa na inakubalika na watanzania wengi. Huo uwanja hautatosha hapo watafurika na kumwagika sana

Mmarangukoko matusi ni upeo mdogo wa kujenga hoja mheshimiwa kada wa ccm uishiye mbezi tuwekee basi picha ya watu wakiwa mkutanoni maana tayari mkutano ulishafanyika na kiongozi mkuu kama wewe huwqezi kukosa hata kapicha kamoja japo ka photoshop uzugie
 
jana mtu mzima kaumbuka...alipost comment kwa jina lake halisi alafu akajichangaja akarudi kujibu comment ya BENSaanane kwa ID ya Imebidi. Hiyo thread hadi mda huu ipo na inachangiwa na magreat thinker lakini yeye Imebidi alipoona amejichanganya ajatia pua yake tena hadi leo
wanafiki wataendelea kuumbuka , na watashangaa kwanini wanaumbuka ! Mungu ni mwema .
 
Last edited by a moderator:
Mmarangukoko matusi ni upeo mdogo wa kujenga hoja mheshimiwa kada wa ccm uishiye mbezi tuwekee basi picha ya watu wakiwa mkutanoni maana tayari mkutano ulishafanyika na kiongozi mkuu kama wewe huwqezi kukosa hata kapicha kamoja japo ka photoshop uzugie
nimemdharau sana huyu Mmaranguorijino !
 
Hii kitu hawakuleta?

kp.jpg
 
Alazwe motoni kamandax2
Itakuwa huzuni kwa mafisadi na familia zao
Siku ikifika ya kufutwa kwao Tanzania hapo mwakani
 
Labda wenye malori na daladala nao wamechoshwa na CCM
 
C.c
m@ke*nge maji yafutayo.
Mwanadiwani,msalani,ifweero,chabruma,ritz,assyndria,tony gwanko,nape,mkya,
na machumia tumbo yote niliyo yasahau njooni muone vilaza wen*zenu wanavyo aibika!

na riz umemsahau
 
Mkuu big in, huyu jamaa ni kauzu sana hizi picha zinaonyesha kwanza kama ndio wamemaliza kuandaa kwa kuanza na hao wamama hapo chini kama vile wanabadilishana mawazo machache huku wakisubiri wageni wakuu, mbona sioni picha ya mgeni rasmi hapo, inaonyesha kwamba ndio wapo wanawasubiri,ccm inapendwa sana na watanzania wa rika zote ndio maana umeona wameandaa viti vya kutosha kwa umati mkubwa unaotarajiwa kuhudhuri, huyu pimbi mleta mada anakwenda kupiga picha wakati wa maandalizi kweli chadema kuna vijana wehu

haya naona mkutano umesha anza muda hebu tutupie kapicha hapo tuone nyomi lilivojaa.. wasikuzingue hawa watoto.. lete picha mwana nape.jpg😛eace:
 
hahahahah inafurahisa sana. hao maccm tumeyachoka kabisa
 
Hii funga kazi. Mleta maada uendelee kutafuta picha za hawa washupaaji tuwakomeshe. hata michango yao humu imeanza kuwa michache nadhani wengi wameanza kujitambua. Karibu tutatawala jukwaa . Tutatofautisha wanaoshupaa na wanaoduwaa.
 
I wasn't arguing with you.Ngorope.Stop reading into everything as if it's a formal debate.It's just the internet and it's a randomness forum on a world of warcraft website.If you want to act like an intellectual,this is not the best place to do it.

Hili ni jukwaa huru la kuchangia hoja ukitaka kuchat na watu maalum nenda facebook. Ila hapa mada huchambuliwa na wanajamvi wote pasipo mipaka
 
Back
Top Bottom