Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
- Thread starter
- #21
Kura alizopata mgombea wa CUF zilikuwa ni za wapinzani wote.Ngoja nichukulie mfano huu....Kuna wanaCDM waliompigia Mahona (CUF) simply CDM haikuwa na mgombea,na sasa kwakuwa CDM ina mgombea,watampigia na hvyo kuufanya mtaji wa Mahona (CUF) kupungua so unapofanya tathmini hilo nalo ni la kuzingatia.@Mzee Mwanakijiji
Kama hii ingekuwa kweli watu wengi zaidi pia wangejitokeza kumpigia mgombea wa Urais wa CDM. lakini Dr. Slaa alipata kama kura 6000 hivi Igunga na mgombea wa Uais wa CUF alipata kiasi gani?