We lofa kweli sasa uturuki wakipiga chini ckukuu ya kipagani unasema udini?
Hapana mkuu
abubakar we ni **** kweli isa bin mariam ni watu wawili tofauti wakati ni yesu huyohuyo
Kwani Wakristo na Waislam sio jamaa moja?ok upo mbalina Mjini istanbul haya umeshaondoka au bado upo izmir Mkuu kijanamtanashati Turki ni nchi ya Kiislam hawawezi kuitambuwa Sikukuu ya Krismasi wala Sikukuu ya Pasaka hata Saud Arabia hawazitambuwi hizo Sikukuu ni za Wakristo Waislam ni mwiko kusherehekea.
Mkuu, waislam Uturuki ni zaidi ya 95%Wacha mrusi awaadabishe tu ndio maana nyerere alikataa udini katika nchi ila kueshimu sikukuu za watu ni muhimu sana ukawapa watu mapunziko kwa kua uislam uturuki ni asilimia 70 tu 30% sio waislam vipi Zanzibar hapo asilimia 90 ni waislam na 10 ni wakristo?
Kwani Wakristo na Waislam sio jamaa moja?
Mi nilishawahi kwenda jirani tu, Zimbabwe hawa jamaa hawana cha Eid wala Maulidi. Wao ni sikukuu za Kikristo.
isa bin mariam na yesu ni watu wawili tofauti
Uingereza ndo kabisaa habari ya X -Mass hawataki kuisikia