nimesikitika kuona baadhi ya nchi wanaendekeza udini kupita maelezo. nipo uturuki kwa mda kama mwezi kikazi. nimeshangaa kuona leo dunia inaadhimisha sikuku ya kuzaliwa yesu lakini kwa hii nchi tofauti kidogo. watu wameenda kazini, vyuoni, shule na shughuli zote za maendeleo zinaendelea kama kawaida. nimemuuliza dogo mmoja ananiambia ndo ilivo kwa kawaida hakuna mapumziko ya chrismas wala pasaka. mapumziko ni siku za eid tu. nimesikitika kwa kweli nimekumbuka tanzania yangu. sikutegemea kama udini upo juu kiasi hiki kwa nchi kama uturuki!!!
Wacha mrusi awaadabishe tu ndio maana nyerere alikataa udini katika nchi ila kueshimu sikukuu za watu ni muhimu sana ukawapa watu mapunziko kwa kua uislam uturuki ni asilimia 70 tu 30% sio waislam vipi Zanzibar hapo asilimia 90 ni waislam na 10 ni wakristo?
ule mji mkuu wa utawala wa Rumi constantinaple:waliubadili jina wakaita InstabulHao ndo waliua ukristo hapo wakati wa ottman empire.
Waache waendelee na misimamo yao ndio maana laana za vita haziwaachi kila kukicha
Kwani Yesu alizaliwa tar 25dec?
Uturuki ni taifa la kiislamu,chepuka ujerumani ukale sikukuu yako
paul kama sikosei alizaliwa tartus,syria,pale warusi walipo na base yao kwasasaKanisa kama colintho na wagalatia na maeneo mangine ambapo ukristo ule pure ulipoanzia ni Uturuki na Syria. Karibu robo tatu ya matendo ya mitume ilikuwa ni Turkey ndo kanisa kubwa ambapo Paul alihudhira ibada mara kadhaa lipo Istanbul.Paul mtume amekaa sana Turkey na na hapo na ndipo neno Wakristo lilipoanza kutumika. Inakuwa ngumu kidogo kuamini kwamba Uturuki ni nchi ya kiislam sema things change with time lakin Injili itasimama
Ndio mahaana mkuu rahaana zinawatafuna plus majanga ni sawa kila nchi inataratibu zake lakin kumbuka waliopo wote c Islamic mfano huko turkey kuna ifesso wanahamin kuwa bikra maria alihishi pale na watalii wengi uwenda pale nakuchukuwa maji ya balaka wanawezaje kutoamin kuzaliwa kwa mfalme Wa wayaudi pumba kabisa
Waache waendelee na misimamo yao ndio maana laana za vita haziwaachi kila kukicha
Kwani siwanamwamini issa bin mariam, sasa kwanini wasisherekee kuzaliwa kwake, hebu wakumbushe quran
Niliwahi kuwa Cairo Misri siku ya Christmass, hakukuwa na shamra shamra yeyote. Nilifanya ibada yangu kwenye chumba changu cha hoteli, nikawapigia simu ndugu na jamaa kuwatakia kheri,baada ya hapo nikatoka kwenda kula. Moyoni nilijua nimesherehekea Christmas
Upo Sehemu gani Uturuki wewe Mkuu kijanamtanashati? Njoo Tusherehekee Sikukuu ya Krismasi Aleluya ,Bwana Awe Nasi.nimesikitika kuona baadhi ya nchi wanaendekeza udini kupita maelezo. nipo uturuki kwa mda kama mwezi kikazi. nimeshangaa kuona leo dunia inaadhimisha sikuku ya kuzaliwa yesu lakini kwa hii nchi tofauti kidogo. watu wameenda kazini, vyuoni, shule na shughuli zote za maendeleo zinaendelea kama kawaida. nimemuuliza dogo mmoja ananiambia ndo ilivo kwa kawaida hakuna mapumziko ya chrismas wala pasaka. mapumziko ni siku za eid tu. nimesikitika kwa kweli nimekumbuka tanzania yangu. sikutegemea kama udini upo juu kiasi hiki kwa nchi kama uturuki!!!
mkuu mzizi mkavu hizi christmas trees nahisi wanatumia kama mapambo tu!! hata hotel niliyofikia wameweka christmas trees nachojariibu kusema kwamba christmas haitambuliki maana leo ilikuwa ni siku ya kazi kama kawaida. wanafunzi walienda shule na vyuoni na shughuli za kimaendeleo zilikuwa kam kawaida!! ila nimewakubali zaid maana jana ilikuwa maulid day lakini ilikuwa ni siku ya kazi. nimefikia izmir mkuu. barikiwa sanaUpo Sehemu gani Uturuki wewe Mkuu kijanamtanashati? Njoo Tusherehekee Sikukuu ya Krismasi Aleluya ,Bwana Awe Nasi.
Turki hapo Mkuu
Hatuwezi kusherekea sikukuu ya makafiri