Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 288
- 502
Kuna miji huwa haisemwi kiasi unachoweza kudhani IPO nyuma.
Moja ya mkoa huo ni Shinyanga.
Katika orodha ya uchangiaji WA pato la taifa Kwa kila mkoa Shinyanga inashika nafasi ya tatu(3) Kwa kuchangia 5% ikiwa imezidia na mikoa ya Mwanza yenye mchango WA 9% na Dar yenye 17%.
Kinachoshangaza ni jiji kama Arusha kuzidiwa na hata morogoro huku kilele zikiwa nyingi. Kwa takwimu hizi ni wazi kuwa kanda ya ziwa ni eneo zuri kuwekeza na kufanya biashara mbali na Dar.
Ref.
IMF 2019.
Moja ya mkoa huo ni Shinyanga.
Katika orodha ya uchangiaji WA pato la taifa Kwa kila mkoa Shinyanga inashika nafasi ya tatu(3) Kwa kuchangia 5% ikiwa imezidia na mikoa ya Mwanza yenye mchango WA 9% na Dar yenye 17%.
Kinachoshangaza ni jiji kama Arusha kuzidiwa na hata morogoro huku kilele zikiwa nyingi. Kwa takwimu hizi ni wazi kuwa kanda ya ziwa ni eneo zuri kuwekeza na kufanya biashara mbali na Dar.
Ref.
IMF 2019.
List of regions of Tanzania by GDP - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Tanzania: GDP by region | Statista
In 2020, Dar es Salaam was the region in Tanzania with the highest Gross Domestic Product (GDP), which amounted to roughly 25.3 trillion Tanzanian shillings (TZS), approximately 10.9 billion U.S.
www.statista.com