Kumbe ndio maana CHADEMA haikubaliki Dar

Kumbe ndio maana CHADEMA haikubaliki Dar

kupe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
1,036
Reaction score
330
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.
 
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.

Kalale wewe hujui tulikotoka, tulipo na tunakoendelea, Hata Mandela hakuwa na watu wengi na waliojitokeza walipigwa walidhalilishwa na akawekwa ndani miaka 27. Akina Nyerere nao waliambiwa ni washamba na wachochezi lakini leo hii unakumbuka mchango wake.

Acha kabisa siasa za maji taka, Ukimya ni bora kuiko kupayuka bila kitu
 
elimu yako ni darasa la ngapi??
hata mtoto wa darasa la 4 hawezi kuandika ----- kama huu
 

Akili za kushikiwa ndivyo zilivyo!!!! Yanayotokea Arusha hayana mipaka kama unavyodhani yatafika kila mkoa na hatimaye Serikali dhalimu kuondolewa madarakani. Usishindane na nguvu ya umma hata siku moja.



Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.
 
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.

Vuta shuka ulale. Moshi waandamanie nini wakati Halmashauri iko chini ya Chadema. Mama Kinabo Mkurugenzi sasa anaona siku zake kama kawaida. Njoo ujionee. Chezea Moshi weye.
 
Ukibishana na kubwajinga km huyu ni sawa na kubishana na kinyago kisichosema
 
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.

kama kuunga mkono CHADEMA ni ushamba niacheni tu niendelee kuwa mshamba kwa kweli .

Damu iliyomwagwa na CCM hapa SOWETO itawatesa milele watetezi wote wa udhalimu wa ccm.
 
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.

Uwezo wako wa kufikiri naona ni mdogo sana!!! Kawe na Ubungo yako chiini ya CDM na Ukonga Mahanga alishinda kwa kuiba kura waziwazi!! Au huna habari???

"Amandla awethu, all power to the people"
 
watu wa dar wanahesabu zao na huo ushamba wa kushabikia kila kinachoonekana hawana arusha wanateswa na ukabila wameambiwa chadema ikishinda wizara zote kubwa kuhamia arusha,sasa dar utamdanganya nani kwa pipi na karanga.
 

Akili za kushikiwa ndivyo zilivyo!!!! Yanayotokea Arusha hayana mipaka kama unavyodhani yatafika kila mkoa na hatimaye Serikali dhalimu kuondolewa madarakani. Usishindane na nguvu ya umma hata siku moja.

kwa taarifa yako yanayotokea arusha mtabaki nayo huko huko dar umchezee nani na utoto huo si atakutoa baruti.
 
By kupe<br />
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.
<br />
<br />
<font color="blue">Uwezo wako wa kufikiri naona ni mdogo sana!!! Kawe na Ubungo yako chiini ya CDM na Ukonga Mahanga alishinda kwa kuiba kura waziwazi!! Au huna habari???<br />
</font><font color="red"><br />
<b><i>&quot;Amandla awethu, all power to the people&quot;</i></b></font>

Hahaha haya weee
 
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.
mkuu dar siyo hai wala soweto ni mji wa mishe nani atakaa kusikiliza mambo kama wanayotangaza chadema ambayo hata tija hayana.
 
Huna ujualo na akili yako ni finyu mno kuweza kutafakari mambo kwa kina.

kwa taarifa yako yanayotokea arusha mtabaki nayo huko huko dar umchezee nani na utoto huo si atakutoa baruti.
 
Kuna mtu alikuwa ananiambia kwamba ili uwe mwanachama halali wa CCM ni lazima uwe kilaza na mwepesi wa kujitoa fahamu, sasa nazidi kumwelewa. Hivi Mhe.J.J.Mnyika na Mhe.Halima Mdee ni wabunge kupitia chama gani na mkoa upi?
 
Last edited by a moderator:
umefungua mlango wako wa kioo ukarusha jiwe..
sasa ngoja wakutoe damu hapa chalii..
 
watu wa dar hawana ushamba kama wa arusha. Watu wa dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko arusha. Watu wa dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo lema na mbowe kwanini wasiende kuandamana moshi.

inaelekea leo ndio mamako kakuachisha kunyonya subiri ukue halafu uende lumumba watakuelezea chadema ni jiti la nyuma kwa ccm, ccm wanashinda wima lumumba hawakai jiti limewaingia kama gadafi
 
akili yako fupi sana...hivi tanzania ni arusha na dar? mbona hujataja mbeya,arusha,iringa na kwingineko? nyway, ukisema watu wa dar unamaanisha nini? sio lazima kuanzisha uzi...kusoma walioanzisha wengine sio kosa....
 
Akili ndogo (chichiem) haziwezi kuongoza akili kubwa (cdm). Naona umeleta hoja ya kimasaburi hapa, kajipange upya kijana mchumia tumbo - lumumba

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom