Kumbe ndio maana CHADEMA haikubaliki Dar

Kumbe ndio maana CHADEMA haikubaliki Dar

2015 hadi magogoni cdm utaiona mjinga ww .utamtafuta chagonja atakuwa keko
 
Kakimbia huyo

"To know the enemy is half the victory"
 
Kalale wewe hujui tulikotoka, tulipo na tunakoendelea, Hata Mandela hakuwa na watu wengi na waliojitokeza walipigwa walidhalilishwa na akawekwa ndani miaka 27. Akina Nyerere nao waliambiwa ni washamba na wachochezi lakini leo hii unakumbuka mchango wake.

Acha kabisa siasa za maji taka, Ukimya ni bora kuiko kupayuka bila kitu

E bwana umeandika pointi kubwa sana, natamani niiweke fb wall yangu.
 
Kalale wewe hujui tulikotoka, tulipo na tunakoendelea, Hata Mandela hakuwa na watu wengi na waliojitokeza walipigwa walidhalilishwa na akawekwa ndani miaka 27. Akina Nyerere nao waliambiwa ni washamba na wachochezi lakini leo hii unakumbuka mchango wake.

Acha kabisa siasa za maji taka, Ukimya ni bora kuiko kupayuka bila kitu

Ndio mnavyowadanganya watu wasio na shughuli huko soweto na unga ltd arusha . Mnawakusanya huko mnawapiga mabomu , mnawauwa, mnalipua makanisa .duh kweli mbowe , lema na chadema kiboko . Mwingine naye anajiita Nassari anasingizia ugonjwa. Njooni na Dar mjaribu hayo mazingaombwe yenu muone. Kila mtu mjanja huku.
 
Hahahhaha eti kila chadema wakimaliza kuhutubia mikutano yao kuna bakuli la michango linapitishwa kwa masikini ili wawachangie wapate hela za kwenda ikulu wakale bata na kueneza ukabila . Jiji la Dar hadi umsomeshe mtu akuelewe na akuchangie sio issue ya kitoto. Nakuhakikishieni mambo hayo yaishia huko huko Arusha.
 
Kalale wewe hujui tulikotoka, tulipo na tunakoendelea, Hata Mandela hakuwa na watu wengi na waliojitokeza walipigwa walidhalilishwa na akawekwa ndani miaka 27. Akina Nyerere nao waliambiwa ni washamba na wachochezi lakini leo hii unakumbuka mchango wake.

Acha kabisa siasa za maji taka, Ukimya ni bora kuiko kupayuka bila kitu

Huwezi fananisha Nyerere au Mandela. Hawa walikuwa vijana wenye akili timamu chini ya miaka 40. Eti leo uwafananishe na kibabu mstaafu cha miaka 70 + eti dr Slaa. Wewe umeshaona wapi mwanaume ana miaka 70 hata mke hana . Ana gal friend.
 
Jamani huyu mueleweni tu. Mtu mwenyewe anajiita KUPE. Wote twaijua tabia ya kupe.
 

Akili za kushikiwa ndivyo zilivyo!!!! Yanayotokea Arusha hayana mipaka kama unavyodhani yatafika kila mkoa na hatimaye Serikali dhalimu kuondolewa madarakani. Usishindane na nguvu ya umma hata siku moja.
BAK, definitely hajui anachokiongea. Anasema CHADEMA Haikubaliki Dar, ilihali tayari inaongoza majimbo mawili. Chama gani kingine cha upinzani kina jimbo Dar? Hajiulizi? Halafu aangalie kwenye majiji makubwa yote ya nchi hii CHADEMA ina muwakilishi? Anataka ukubalikaji gani? Hawe wenzetu huwa ni wakurupukaji kupita kawaida.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
me nahisi mleta mada AMETUMWA! kama sivyo anajiskia RAHAAAAA! kuona POST yake ina wachangiaji wengi kuliko za wenzake! ni MTAZAMO 2!
 
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.
sidhani kama upo sahihi kihivyo. Kwanza wanajitahidi kutokuonekana ni chama cha wachaga ili kuzuia kuthibitisha propaganda. Pili robo tatu ya Kilimanjaro wameshadhibiti kwanini uwekeze zaidi. Tatu naona wanaendelea kukamata mikoa ya pembezoni wanaingia mbeya, kigoma maeneo ya nyanda ya ziwa na mijini. Wasipokuwa waangalifu wale wa chama tawala watakamata na mji mkuu kama final assault ya kisiasa. Kasome kidogo jinsi golden eagle anavyowinda mbuzi wa milimani. Huwanza kumshambulia kidogo kidogo hata kwa saa 3 ili mradi asogee karibu ya korongo na kufanya shambulizi moja la nguvu. Ndio siasa inavyofanyika. Kanu haikuondoka mara moja walianza kuibana mikoa mingine nje ya himaya ya wakalenjin na kikuyu kabla ya kutafuta mpinzani toka wakikuyu na kumuunga mkono wakafanikiwa kuitoa.
 
Dar ipi ya Bongo? wekweli mbulula na dar yenyewe unayo isema, we ni mhamiaji unataka uonekane na wewe uko dar, sema Wazaramo hawawezi kuandamana, waandamane ngoma wamuachie nani (kumcheza mwari) jituzima linaachakazi eti naenda kumcheza mwari, ovyo.
 
Nani mwenye akili timamu akashabikie cdm?..jiulize nani kapata barabara kwa kuandamana,nani kapata maji kwa kuandamana, nani kapata huduma za afya kwa kuandmana, nani kapata haki ya kisheria kwa kuandamana, nani kapata mkopo wa elimu kwa kuandamana, nani kaongezwa mshahara kwa kuandamana n.k vyote hv vinapatikana kupitia utaratibu ulowekwa kisheria na kikatiba. Wote tunabuwa maandamano ni haki lkn kila siku? Hee! Ina maana ninyi viongozi na wabunge tuliwachaguwa kufanya nn? Maana kila jambo mkishidwa kutetea hoja mnarudi kwa wananchi kitushurutisha tuandamane hii c haki kbs kama mmeshindwa wapisheni wengine waendeshe upinzani mnatupotezea muda wa kufanya kazi.
 
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.
Hivi wewe "Kupe" ni house boy wa Nape Nnauye au ni house girl wake? Mimi nina mashaka sana na wewe. Au inawezekana pia wewe ni shamba boy wa Mwigulu Nchemba!
 
Kalale wewe hujui tulikotoka, tulipo na tunakoendelea, Hata Mandela hakuwa na watu wengi na waliojitokeza walipigwa walidhalilishwa na akawekwa ndani miaka 27. Akina Nyerere nao waliambiwa ni washamba na wachochezi lakini leo hii unakumbuka mchango wake.

Acha kabisa siasa za maji taka, Ukimya ni bora kuiko kupayuka bila kitu

Thumb up.
 
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.

To hell dead alive
 
Nani mwenye akili timamu akashabikie cdm?..jiulize nani kapata barabara kwa kuandamana,nani kapata maji kwa kuandamana, nani kapata huduma za afya kwa kuandmana, nani kapata haki ya kisheria kwa kuandamana, nani kapata mkopo wa elimu kwa kuandamana, nani kaongezwa mshahara kwa kuandamana n.k vyote hv vinapatikana kupitia utaratibu ulowekwa kisheria na kikatiba. Wote tunabuwa maandamano ni haki lkn kila siku? Hee! Ina maana ninyi viongozi na wabunge tuliwachaguwa kufanya nn? Maana kila jambo mkishidwa kutetea hoja mnarudi kwa wananchi kitushurutisha tuandamane hii c haki kbs kama mmeshindwa wapisheni wengine waendeshe upinzani mnatupotezea muda wa kufanya kazi.

:heh::heh::heh:
 
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.

Hebu fafanua zaidi unaposema watu wa Dar unamaanisha watu wa namna gani?Unamaanisha wazaramo?Hebu ongezea nyama hiyo habari yako ieleweke vizuri.
 
Tumeangusha Ubungo, Kawe, Mwanza mjini, Mbeya mjini, Iringa mjini na Arusha mjini. Naona unazisogeza Pwani Ubungo na Kawe.
 
watu wa dar wanahesabu zao na huo ushamba wa kushabikia kila kinachoonekana hawana arusha wanateswa na ukabila wameambiwa chadema ikishinda wizara zote kubwa kuhamia arusha,sasa dar utamdanganya nani kwa pipi na karanga.

Wewe nia yako ni kuiponda cdm tu, nani alisema wizara zitahamishiwa arusha? Afu kumbu hii nchi watu wanahama daily so watu wa arusha hawawezi kuwa wa arusha tu,mfano mi naishi dar lakini ndani ya miaka mitatu nimeishi arusha,moshi na geita, acha kufikiria kuiangamiza cdm,hicho chama ni Mungu tu kaamua kutukomboa.Kama Umeshindwa kupingana na sisi kwa hoja njoo uwe na sisi
 
Back
Top Bottom