Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.
UNAUMWA WEWE..washamba uko uko dar kwenu...mnapenda ccm kwasababu ya uswahili na udini tu..mnaibiwa kura mnakaa kaa tu kupiga mdomo inaonesha jinsi gani maendeleo ya kiakili msivyonayo..we utatuambia nini dar watu washamba tu..kasoro labda wahamiaji..wengine wote malimbukeni wa maisha..kazi kupiga mdomo na kudhani mnajua kila kitu...