Kuna mtu alikuwa ananiambia kwamba ili uwe mwanachama halali wa CCM ni lazima uwe kilaza na mwepesi wa kujitoa fahamu, sasa nazidi kumwelewa. Hivi Mhe.J.J.Mnyika na Mhe.Halima Mdee ni wabunge kupitia chama gani na mkoa upi?
Kalale wewe hujui tulikotoka, tulipo na tunakoendelea, Hata Mandela hakuwa na watu wengi na waliojitokeza walipigwa walidhalilishwa na akawekwa ndani miaka 27. Akina Nyerere nao waliambiwa ni washamba na wachochezi lakini leo hii unakumbuka mchango wake.
Acha kabisa siasa za maji taka, Ukimya ni bora kuiko kupayuka bila kitu
watu wa dar wanahesabu zao na huo ushamba wa kushabikia kila kinachoonekana hawana arusha wanateswa na ukabila wameambiwa chadema ikishinda wizara zote kubwa kuhamia arusha,sasa dar utamdanganya nani kwa pipi na karanga.
haya kachukuwe buku 7000/=yako hapo lumumba wahi kabla ya swalaaWatu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.
Kalale wewe hujui tulikotoka, tulipo na tunakoendelea, Hata Mandela hakuwa na watu wengi na waliojitokeza walipigwa walidhalilishwa na akawekwa ndani miaka 27. Akina Nyerere nao waliambiwa ni washamba na wachochezi lakini leo hii unakumbuka mchango wake.
Acha kabisa siasa za maji taka, Ukimya ni bora kuiko kupayuka bila kitu
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo Lema na Mbowe kwanini wasiende kuandamana Moshi.
watu wa dar hawana ushamba kama wa arusha. Watu wa dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko arusha. Watu wa dar wanajua maisha na wanapenda amani. Mwishowe umewahi kujiuliza hivi huyo lema na mbowe kwanini wasiende kuandamana moshi.
amuulize mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi na policcm kwanini hawaleti umbulula wao hapa Moshi,Sasa waandamane mosh kwa lip wkt halmashaur ya mosh ipo chn ya Cdm?