Majizi nyinyi mtanyooka tu awamu hii,Nina marafiki zangu kama 30 ambao nilisoma nao O level hadi A level na tukaachana form Six ambapo niliamua kuchukua masomo ya Sanaa huku wao wakichukua masomo ya Sayansi huko Chuo Kikuu na bahati nzuri wengi wao walisomea UDSM tena hasa hasa wakibobea katika mambo ya Ukemia.
Nilichogundua kutoka kwa hawa Marafiki zangu 30 Wakemia ni haya yafuatayo:
Je Wadau wa JF ni kwanini hawa Marafiki zangu 30 Wakemia waliotukuka wana hizo SIFA mbaya tajwa hapo juu?
- Wana roho mbaya.
- Ni makatili sana.
- Siyo wasikivu ( yaani hawaambiliki ).
- Wanafiki waliotukuka.
- Wana Visasi ambavyo havivumiliki ambavyo hupelekea kuharibu Kemikali zao.
- Wababe / Madikteta fulani hivi.
- Hawana nyota ya kupendwa hata wakioga maji ya baharini, wakisali au wakiroga.
Nitawashukuruni nikipata majibu yenu na tujitahidi tu Jumatatu kati ya Saa 3 hadi Saa 5 au Saa 6 tukampokee Mkombozi mkabala na Maktaba Kuu ya Taifa.
Nawasilisha.
PCB - PEOPLE CONFUSING BRAINNitawashukuruni nikipata majibu yenu na tujitahidi tu Jumatatu kati ya Saa 3 hadi Saa 5 au Saa 6 tukampokee Mkombozi mkabala na Maktaba Kuu ya Taifa.
- Wana roho mbaya.
- Ni makatili sana.
- Siyo wasikivu ( yaani hawaambiliki ).
- Wanafiki waliotukuka.
- Wana Visasi ambavyo havivumiliki ambavyo hupelekea kuharibu Kemikali zao.
- Wababe / Madikteta fulani hivi.
- Hawana nyota ya kupendwa hata wakioga maji ya baharini, wakisali au wakiroga.
Nawasilisha.
Wewe acha dharau kwa wasomi. What is Catalyst?Vichwa vyao vina properties za Flammable
#Vinapata#Moto#Haraka#
Izo ni tabia zao OG hakuna professional inayonfanya mtu awe tofauti zaidi ya mihemko yake binafisNina marafiki zangu kama 30 ambao nilisoma nao O level hadi A level na tukaachana form Six ambapo niliamua kuchukua masomo ya Sanaa huku wao wakichukua masomo ya Sayansi huko Chuo Kikuu na bahati nzuri wengi wao walisomea UDSM tena hasa hasa wakibobea katika mambo ya Ukemia.
Nilichogundua kutoka kwa hawa Marafiki zangu 30 Wakemia ni haya yafuatayo:
Je Wadau wa JF ni kwanini hawa Marafiki zangu 30 Wakemia waliotukuka wana hizo SIFA mbaya tajwa hapo juu?
- Wana roho mbaya.
- Ni makatili sana.
- Siyo wasikivu ( yaani hawaambiliki ).
- Wanafiki waliotukuka.
- Wana Visasi ambavyo havivumiliki ambavyo hupelekea kuharibu Kemikali zao.
- Wababe / Madikteta fulani hivi.
- Hawana nyota ya kupendwa hata wakioga maji ya baharini, wakisali au wakiroga.
Nitawashukuruni nikipata majibu yenu na tujitahidi tu Jumatatu kati ya Saa 3 hadi Saa 5 au Saa 6 tukampokee Mkombozi mkabala na Maktaba Kuu ya Taifa.
Nawasilisha.
Mabadiliki ya tabia nchiMbona mwaka jana uliwasifia sana hao marafiki zako? Au walikuwa hawajahitimu bado ukemia?
Sasa umeanza kujitambua karibu Sana Mikocheni.Nina marafiki zangu kama 30 ambao nilisoma nao O level hadi A level na tukaachana form Six ambapo niliamua kuchukua masomo ya Sanaa huku wao wakichukua masomo ya Sayansi huko Chuo Kikuu na bahati nzuri wengi wao walisomea UDSM tena hasa hasa wakibobea katika mambo ya Ukemia.
Nilichogundua kutoka kwa hawa Marafiki zangu 30 Wakemia ni haya yafuatayo:
Je Wadau wa JF ni kwanini hawa Marafiki zangu 30 Wakemia waliotukuka wana hizo SIFA mbaya tajwa hapo juu?
- Wana roho mbaya.
- Ni makatili sana.
- Siyo wasikivu ( yaani hawaambiliki ).
- Wanafiki waliotukuka.
- Wana Visasi ambavyo havivumiliki ambavyo hupelekea kuharibu Kemikali zao.
- Wababe / Madikteta fulani hivi.
- Hawana nyota ya kupendwa hata wakioga maji ya baharini, wakisali au wakiroga.
Nitawashukuruni nikipata majibu yenu na tujitahidi tu Jumatatu kati ya Saa 3 hadi Saa 5 au Saa 6 tukampokee Mkombozi mkabala na Maktaba Kuu ya Taifa.
Nawasilisha.
Yana athari kubwa.Mabadiliki ya tabia nchi
Huo ni uchokozi bayana. Huogopi kumsimanga? Kumbuka JF iko katika uchunguzi kuona kinachoandikwa kila leo.
Nani kasimangwa?Huo ni uchokozi bayana. Huogopi kumsimanga? Kumbuka JF iko katika uchunguzi kuona kinachoandikwa kila leo.