Kumbe na Mimi ningesomea ukemia leo ningekuwa mkatili, siambiliki, mnafiki na dikteta?

Hamna shida,najua jitihada za wakemia zitasifika sana kuanzia 2018 -2025.Ngoja tunyooshe nchi kwanza.WHO wameshasema hakuna Zika Tz,mlitaka mpige hela kama ule ugonjwa mliozusha mpaka leo haujulikani ulikuwepo au haukuwepo ila watu walipiga hela za utafiti.
Ivi yule msemaji wa WHO aliyeonyeshwa Ni kama ameambiwa cha kusema.Ebu kamwangalie vizuri.Mnabishana NA watafiti.Poa yetu macho
 
Ningekushauri tu Mkuu badilisha Avatar yako kwani huyo uliyemweka hapo hakuwa na mawazo ya Kipumbavu kama haya uliyotuwekea humu Wewe na sana sana unamuaibisha tu akiwa zake mavumbini pande za Wami Dakawa.
Sawa mkuu ntabadilisha,ila umenistua kidogo unapoota kusoma kemia wakati uwezo wako ndo umeishia hapo,ni heri uje kuuza nyanya kama sisi kuliko kufikiria kusoma vitu ambavyo usingeviweza,CHEMISTRY IS NOT FOR LIGHT PEOPLE.
 
We need to be gentlemen

We need to be smart upstairs to vigorously oppose what our Colleague is facing now behind bars at Keko Prison. Next time avoid being a hypocrite! Syn optically just to correct your poor English which you wrote is that in English grammar We don't say " We need to be gentlemen " rather you would have written " We need to act Gentlemanly " OR " Let us behave Gentlemanly ". Kila siku huwa nawasisitiza humu kuwa kwakuwa Wote ni Watanzania hakuna haja ya kutishana na Viingereza vyenu vya Matangazo kutoka kwa Mwalimu wenu Ras Simba lakini hamnisikii na leo sasa mwenyewe umejitutumua na Kuandika kwako hicho Kiingereza na umekichapia. Jamani wengine hizo lugha tumeanza nazo tokea Kindergarten na sasa tumekuwa Wordsmiths wa kutukuka lakini hatuzifagilii kwa sana sasa mnapodhani kumwandikia Viingereza vyenu hivi GENTAMYCINE Mimi sitoacha kuwaumbueni. Hakuna lugha ninayoipenda Duniani kama Kiswahili. Ukome na umemtia mno aibu Mwalimu wako wa Kiingereza na Communication Skills.
 
We need to be smart upstairs to vigorously oppose what our Colleague is facing now behind bars at Keko Prison. Next time avoid being a hypocrite! Syn optically just to correct your poor English which you wrote is that in English grammar We don't say " We need to be gentlemen " rather you would have written " We need to act Gentlemanly " OR " Let us behave Gentlemanly ". Kila siku huwa nawasisitiza humu kuwa kwakuwa Wote ni Watanzania hakuna haja ya kutishana na Viingereza vyenu vya Matangazo kutoka kwa Mwalimu wenu Ras Simba lakini hamnisikii na leo sasa mwenyewe umejitutumua na Kuandika kwako hicho Kiingereza na umekichapia. Jamani wengine hizo lugha tumeanza nazo tokea Kindergarten na sasa tumekuwa Wordsmiths wa kutukuka lakini hatuzifagilii kwa sana sasa mnapodhani kumwandikia Viingereza vyenu hivi GENTAMYCINE Mimi sitoacha kuwaumbueni. Hakuna lugha ninayoipenda Duniani kama Kiswahili. Ukome na umemtia mno aibu Mwalimu wako wa Kiingereza na Communication Skills.
Kama amesoma hata hiyo Communication Skills anyway.
 
Kama amesoma hata hiyo Communication Skills anyway.

Mkuu nimecheka sana! Kuna Watu wanadhani JF imesheheni tu Mangumbaru kama Wao kumbe ni Kinyume chake humu tumejaa Majiniasi tupu na tunaojielewa. Eti " We need to be gentlemen " Shenzy zake kabisa.
 
Back
Top Bottom