Kumbe kubeba mimba si mchezo!

Kumbe kubeba mimba si mchezo!

Mie ile first trimester niliteseka mnooo Kutema mate kila dk kula udongo hatari sana nikishtuka hata saa tisa uck natafuta udongo ulipo nakula nalala plus presha kushuka naanguka mpaka nipate drip ndo nakuwa sawa chakula akipandi zaidi ya kula Bagia tu na mchemsho wa samaki mbichi plus maini ndo vyakula vyangu mpk hatua ya mwisho..Eeeeh Mtoto anatoka mbali mweeh kuitwa Mama sio mchezo
Pole na hongera .udongo me sijawai kupenda.me maharage kila saa.nyama niliacha kabisa
 
Jamani kwema?
Ila wanawake ni wasiri jamani, mbona hata hamsemagi kwamba hizi "morning sickness" hilo ni neno tu ila inashinda siku nzima jamani?

Natamani hata mtu angeniambia kwamba ni vichefuchefu siku nzima. Mimi nilijua kama jina lilivyo basi ikifika mchana natakiwa niwe fresh.

Week 8 sasa ila food eversion na nausea muda wote. Kila chakula ninachokifikiria nahisi kichefuchefu.

Nahisi kuumwaumwa tu nikikaa sisikii raha nikilala sisikii raha bora hata kutembea tembea nje. Hiki kichefuchefu natamani hata nitapike ila ni kichefuchefu tu bila kutapika. Khaaa hadi natamani nipige mayowe.

Acha tu jamani watu waringe na watoto wao. Sasa nimeelewa.
Nimecheka kwa sautikwamba unatamani upige yowe
 
Pole shosti
Hapo trela subiri ile siku ifike utaimba nyimbo mpya bila kujua unalia machozi hayatoki unatamani yatoke yakufariji ila Hollah..Acha Mungu aitwe Mungu
Ova
Siku ya kawaida saaaana TU.Kwani ukiwa kwenye hedhi hupati maumivu ya tumbo!!!!
 
Jamani kwema?
Ila wanawake ni wasiri jamani, mbona hata hamsemagi kwamba hizi "morning sickness" hilo ni neno tu ila inashinda siku nzima jamani?

Natamani hata mtu angeniambia kwamba ni vichefuchefu siku nzima. Mimi nilijua kama jina lilivyo basi ikifika mchana natakiwa niwe fresh.

Week 8 sasa ila food eversion na nausea muda wote. Kila chakula ninachokifikiria nahisi kichefuchefu.

Nahisi kuumwaumwa tu nikikaa sisikii raha nikilala sisikii raha bora hata kutembea tembea nje. Hiki kichefuchefu natamani hata nitapike ila ni kichefuchefu tu bila kutapika. Khaaa hadi natamani nipige mayowe.

Acha tu jamani watu waringe na watoto wao. Sasa nimeelewa.
Hapo bado kivumbi cha uchungu ,mayo wee sitak kukumbuka
 
Mie ile first trimester niliteseka mnooo Kutema mate kila dk kula udongo hatari sana nikishtuka hata saa tisa uck natafuta udongo ulipo nakula nalala plus presha kushuka naanguka mpaka nipate drip ndo nakuwa sawa chakula akipandi zaidi ya kula Bagia tu na mchemsho wa samaki mbichi plus maini ndo vyakula vyangu mpk hatua ya mwisho..Eeeeh Mtoto anatoka mbali mweeh kuitwa Mama sio mchezo
Ungekuwa Idete kule Dabaga Kilolo au ungekuwa Ilunde kule Inyonga Katavi umeolewa na msukuma hadi afanye vibarua vya kufyetua tofali ndio mpate pesa ya kula hayo yasingetokea. Ni kujiendekeza tu, mbona wengine wake zetu hawana hayo. Kwa watoto wote 4, sijawahi shuhudia hayo. Mungu awasaidie sana.
 
Hapo bado kivumbi cha uchungu ,mayo wee sitak kukumbuka
Mnamtisha tu na kujiendekeza. Usister do na kujiendekeza ndio unawasumbua. Wengine huku vijijini wanajifungua leo kesho anaenda shamba. Mwaka 2014, mke wangu anaenda jifungua mtoto wa 4 pale Morogoro Hospital tumemsindikiza labour nikakuta binti mmoja anapiga kelele huku anamtukana mmewe. Yule binti kila anachoambiwa na wale wakunga/manesi hasikii yeye ni kujiliza tu mara ajipige selfie mara aangalie kama makope bandia yameanguka, mara alie mbona k yangu inatanuka mara inachanika na upuuzi kibao. Wale wasaidizi wakamwambia kama unaleta ujuaji, tutakuacha ufe.

Hii ndio inayowtesa wanawake wa kisasa ila hakuna uchungu wa kutisha hivyo. Mke wangu tulimpeleka saa 7, saa 9 kajifungua Glory wetu na saa 12 tumerudi kwetu yaani walimruhusu kuondoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom