Kumbe kubeba mimba si mchezo!

Kumbe kubeba mimba si mchezo!

Kuna ile kutema mate inaweza kwenda na wewe hadi unaingia leba
Hapo uso haujajaa kama tofali
Ila watoto wa kiume hawatesi kama wa kike
Kama mimba ya boy hupati shida sana
Baby girl sasa daah

Weee wengine wanasema bora mimba ya mtoto wa kike...

Mimi yangu ya mtoto wa kike sikuwa natapika wala nn nilikua nakula kila kitu sikuvimba uso wala nini ngozi ilikua nzuri na kazi nimefanya mpaka ile wiki ya kujifungua

Ko mimba kila mtu na inavomjia haina mtoto flan ni bora kuliko flan
 
Pole jamani. Mimi sjawah pata hiyo changamoto nasikia tu watu wanasimulia. Jitajid kunywa tangawizi inasaidia sana kwenye kichefuchefu
 
Weee wengine wanasema bora mimba ya mtoto wa kike...

Mimi yangu ya mtoto wa kike sikuwa natapika wala nn nilikua nakula kila kitu sikuvimba uso wala nini ngozi ilikua nzuri na kazi nimefanya mpaka ile wiki ya kujifungua

Ko mimba kila mtu na inavomjia haina mtoto flan ni bora kuliko flan
Yaani mimi ungenionea huruma kulala shida kukaa shida.nikishiba shida njaa shida yaani nilikuwa hooi napumua pumua tu duniani hapa.ila nitarudia sijakoma hata
 
Hiyo hali utakua nayo katika miezi mitatu ya mwanzo 'First Trimester' baada ya hapo utakua poa na kuenjoy ujauzito wako,

Mtoto akianza kucheza ni best experience ever, gusa gusa tumbo lako mara kwa mara ili mtoto afeel your love, zungumza na mtoto wako, muimbie nyimbo nzuri za watoto,msomee hadithi, kua happy muda wote epuka stress na hasira, wamatumbi wana msemo wao "happy mother, happy baby"

Zingatia mlo kamili kwani a healthy child anatokana na chakula bora cha mama, lakini pia uzingatie na diet yako pia usile kama fukufuku na kunenepeana hovyo,

Hongera sana Mama mtarajiwa, nakuombea kheir kwako na kwa mtoto mvuke salama,

NB: Hayo utayakuta kwenye second na third trimester ila kwa sasa msoto lazima.
Thread nzima wewe 💯💯💯💯💯💯
 
Jamani kwema?
Ila wanawake ni wasiri jamani, mbona hata hamsemagi kwamba hizi "morning sickness" hilo ni neno tu ila inashinda siku nzima jamani?

Natamani hata mtu angeniambia kwamba ni vichefuchefu siku nzima. Mimi nilijua kama jina lilivyo basi ikifika mchana natakiwa niwe fresh.

Week 8 sasa ila food eversion na nausea muda wote. Kila chakula ninachokifikiria nahisi kichefuchefu.

Nahisi kuumwaumwa tu nikikaa sisikii raha nikilala sisikii raha bora hata kutembea tembea nje. Hiki kichefuchefu natamani hata nitapike ila ni kichefuchefu tu bila kutapika. Khaaa hadi natamani nipige mayowe.

Acha tu jamani watu waringe na watoto wao. Sasa nimeelewa.
Hongera wanawake wenzako wanatamani wapate mtoto lakini mwenyezi Mungu hajawajalia mshukuru sana Mungu wako.Hayo mambo ya kichefu chefu na complications zote zitapita na utapata mtoto na kusahau mambo ya kichefu chefu.
 
Hiyo hali utakua nayo katika miezi mitatu ya mwanzo 'First Trimester' baada ya hapo utakua poa na kuenjoy ujauzito wako,

Mtoto akianza kucheza ni best experience ever, gusa gusa tumbo lako mara kwa mara ili mtoto afeel your love, zungumza na mtoto wako, muimbie nyimbo nzuri za watoto,msomee hadithi, kua happy muda wote epuka stress na hasira, wamatumbi wana msemo wao "happy mother, happy baby"

Zingatia mlo kamili kwani a healthy child anatokana na chakula bora cha mama, lakini pia uzingatie na diet yako pia usile kama fukufuku na kunenepeana hovyo,

Hongera sana Mama mtarajiwa, nakuombea kheir kwako na kwa mtoto mvuke salama,

NB: Hayo utayakuta kwenye second na third trimester ila kwa sasa msoto lazima.
Una Akili Wewe Safi Sanaaaaaa kwa ushauri Mzuri Hata Mimi baba nimesikia Raha
 
Hiyo hali utakua nayo katika miezi mitatu ya mwanzo 'First Trimester' baada ya hapo utakua poa na kuenjoy ujauzito wako,

Mtoto akianza kucheza ni best experience ever, gusa gusa tumbo lako mara kwa mara ili mtoto afeel your love, zungumza na mtoto wako, muimbie nyimbo nzuri za watoto,msomee hadithi, kua happy muda wote epuka stress na hasira, wamatumbi wana msemo wao "happy mother, happy baby"

Zingatia mlo kamili kwani a healthy child anatokana na chakula bora cha mama, lakini pia uzingatie na diet yako pia usile kama fukufuku na kunenepeana hovyo,

Hongera sana Mama mtarajiwa, nakuombea kheir kwako na kwa mtoto mvuke salama,

NB: Hayo utayakuta kwenye second na third trimester ila kwa sasa msoto lazima.
Thread closed!!

Umemaliza kila kitu!👍
 
Kuna ile kutema mate inaweza kwenda na wewe hadi unaingia leba
Hapo uso haujajaa kama tofali
Ila watoto wa kiume hawatesi kama wa kike
Kama mimba ya boy hupati shida sana
Baby girl sasa daah
Mie ile first trimester niliteseka mnooo Kutema mate kila dk kula udongo hatari sana nikishtuka hata saa tisa uck natafuta udongo ulipo nakula nalala plus presha kushuka naanguka mpaka nipate drip ndo nakuwa sawa chakula akipandi zaidi ya kula Bagia tu na mchemsho wa samaki mbichi plus maini ndo vyakula vyangu mpk hatua ya mwisho..Eeeeh Mtoto anatoka mbali mweeh kuitwa Mama sio mchezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom