Kumbe kubeba mimba si mchezo!

Kumbe kubeba mimba si mchezo!

Mimba husumbua kwa baadhi ya watu kadri umri unavyosogea kuelekea kujifungua.

Kuna mimba humsumbua Mama, na baadhi akina Baba.

Mimi kila wife akibeba mimba basi ambaye anasumbuka huwa ni Mimi Baba.

Huwa nachagua vyakula, kichefuchefu lakini huwa sipendi mazingira machafu hata kama nitaenda ugenini.

Mbaya zaidi siku ya kujifunguza wife, basi dalili hunijia mimi.

Last time wife anakaribia kujifungua siku mbili mbele, basi nilishikwa na tumbo la kuendesha hadi alipojifungua ndiyo likakata.

Hivyo ni baadhi ya complications za mimba kwa akina Mama na akina Baba baadhi yetu.

Kwahiyo ukiwa Mzazi mtarajiwa, hivyo vitu ni vya kuzoea tu
Hii nzuri sana, i wish hubby angekua kama wewe nahisi ningebeba mimba mchana na usiku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom