Kumbe ndio wanafanya hivyo. Dah, wanazingua kwa kweliHamna Kitu , inafunguliwa siku Moja , mbili aua masaa machache Kisha inafungwa tena
Sio kweliWameiachia huru lini aisee. Inawezekana nilikuwa najisumbua siku nyingi kufungua Jamii Forums kwa VPN kila muda
KweliHamna Kitu , inafunguliwa siku Moja , mbili aua masaa machache Kisha inafungwa tena
Nashindwa jinsi ya kuproveSio kweli
Siku moja moja tu wanaachia ila wameifungiaNashindwa jinsi ya kuprove
Hapa nimejaribu ku screen record lakini simu yangu ukiscreen record kule status bar inafutwa haionekani
Nilitaka uone na status bar ili uone sijawasha VPN lakini inakubali
Video hii lakini imefuta status bar, lakini ni kweli kwangu inakubali mkuu. Na hata sipo nje ya nchi. Nipo Mbeya huku
View attachment 3558785
Unatumia browser gani?Nineamka leo asubuhi na kwangu JF bado inafunguka bila VPN
Basi tuseme mi nina bahati maana sijui kwa nini wengine mnasema kwenu hazifunguki
Ni kutokujua tu. Kiusalama ni vizuri zaidi ukitumia mtandao muda wote ukiwa na VPNTulikoma aise, was a hard moment sana