Kumbe Jamii Forums imeshafunguliwa 🤔

Kumbe Jamii Forums imeshafunguliwa 🤔

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
5,904
Reaction score
11,813
Wakuu au ni mimi tu ndio nimechelewa kujua

Mbona usiku huu ghafla nashangaa naipata Jamii Forums bila VPN

Wameiachia huru lini aisee. Inawezekana nilikuwa najisumbua siku nyingi kufungua Jamii Forums kwa VPN kila muda
 
Endelea Kujidanganya Tu
Kweli mkuu, hapa ninareply hii comment yako bila kuwasha VPN
Screenshot_20260316-223218.png
 
Hamna Kitu , inafunguliwa siku Moja , mbili aua masaa machache Kisha inafungwa tena
Kumbe ndio wanafanya hivyo. Dah, wanazingua kwa kweli
Watuache tutumie JF kwa amani. Kama hivi ndio napenda, nakuwa natumia JF bila kuona kialama cha ufunguo kule juu kwenye status bar
 
Sio kweli
Nashindwa jinsi ya kuprove
Hapa nimejaribu ku screen record lakini simu yangu ukiscreen record kule status bar inafutwa haionekani
Nilitaka uone na status bar ili uone sijawasha VPN na JF inakubali
Video hii lakini imefuta status bar, lakini ni kweli kwangu inakubali mkuu. Na hata sipo nje ya nchi. Nipo Mbeya huku
 
Nashindwa jinsi ya kuprove
Hapa nimejaribu ku screen record lakini simu yangu ukiscreen record kule status bar inafutwa haionekani
Nilitaka uone na status bar ili uone sijawasha VPN lakini inakubali
Video hii lakini imefuta status bar, lakini ni kweli kwangu inakubali mkuu. Na hata sipo nje ya nchi. Nipo Mbeya huku
View attachment 3558785
Siku moja moja tu wanaachia ila wameifungia
 
Samia anaiogopa jf kuliko Mungu hawezi kuifungulia hadi atoke mwezi wa 10 Mwaka 26 kama ilivyopangwa

Namhurumia Msigwa
 
Hamna Kitu , inafunguliwa siku Moja , mbili aua masaa machache Kisha inafungwa tena
Nineamka leo asubuhi na kwangu JF bado inafunguka bila VPN
Basi tuseme mi nina bahati maana sijui kwa nini wengine mnasema kwenu hazifunguki
 
Tulikoma aise, was a hard moment sana
Ni kutokujua tu. Kiusalama ni vizuri zaidi ukitumia mtandao muda wote ukiwa na VPN

Unapotumia mtandao bila VPN ni sawa na kuoga uchi barabarani lakini watu wengi sana hawajui hili
 
Back
Top Bottom