Kumbe Jamii Forums imeshafunguliwa?

Kumbe Jamii Forums imeshafunguliwa?

Nimegundua hawa Jf wana domain 2 ya dot-com na dot-io

Wakielekeza traffic kwenye dot-io wanapatikana bila VPN ingawa nayo baada ya muda fulani inakuwa locked

Namna rahisi ni kutumia Operamin browser ambayo ina internal built in VPN

Pia nina uhakika siku za mbeleni serikali wataiachia ipatikane bila VPN kwa sasa wanasubiri watu uchungu uwaishe wa mo29
 
Bado ime fungwa mkuu utanitumia hivyo Kwa mda Kisha itakuja

Kumladhi Kuna changamoto imetokea😀😀😀
 
Naona mitandoa yote tuna log in bila VPN, vipi ni mabadiliko au
Hile mitando pendwa
Jamii forum
X
N.k
 
Leo ni mitandao yote mpka CH, hata site za pilau zimeachiwa!
 
Leo ni mitandao yote mpka CH, hata site za pilau zimeachiwa!
Ukichunguza traffic utakuta state house wamejazana humu wanazurula kupoteza hili na lile
 
Back
Top Bottom