Kumbe Jamii Forums imeshafunguliwa 🤔

Kumbe Jamii Forums imeshafunguliwa 🤔

Nimegundua hawa Jf wana domain 2 ya dot-com na dot-io

Wakielekeza traffic kwenye dot-io wanapatikana bila VPN ingawa nayo baada ya muda fulani inakuwa locked

Namna rahisi ni kutumia Operamin browser ambayo ina internal built in VPN

Pia nina uhakika siku za mbeleni serikali wataiachia ipatikane bila VPN kwa sasa wanasubiri watu uchungu uwaishe wa mo29
 
Bado ime fungwa mkuu utanitumia hivyo Kwa mda Kisha itakuja

Kumladhi Kuna changamoto imetokea😀😀😀
 
Back
Top Bottom