- Thread starter
- #21
Mkuu kila mtu anastyle ya maisha yake na ndoto zake ni sawa umuambie Ronaldo asinunue audi48 badala yake iende kumsaidia wagonjwa huko ureno kuna kipindi utasaidia watu kuna kipindi utajijenga wewe binafsi Mbona diamond anasaidia Sana tu watuhiyo hela ya PJ bora angeshea na wananchi hata hospital ama shule ya sanaa.
RR lenyewe halijabamba wala nini sababu watu wengi sisi ni masikini tunaona kama anatuzingua.
kwa migari ambayo aliishakuwa nayo wala halikuwa na haja.