Kumbe hata UKIMWI tunaweza kupambana nao kwa chanjo

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Tumemezeshwa kuwa sababu ya kuwa hakuna chanjo ya kirusi cha UKIMWI ni kwa sababu kinabadilikabadilika sana. Lakini tumeona jinsi kirusi cha Korona kinavyobadilika badilika lakini bado wanasayansi wanakaza kuendana nacho, kwa kutengeneza chanjo mpya kila siku. natumaini tutakishinda hiki kirusi cha Korona.

Sasa kumbe hata kirusi cha UKIMWI tungeweza pambana nacho namna hiyo, bahati mbaya ugonjwa huo unaathiri sana maskini na wajinga, hivyo huwezi kuta makampuni tajiri kama Pfizer yanashughulika nao.

Hebu Afrika ambao tunaathiriwa sana na Ngoma tupambane tupate chanjo. Tukiwa na kampeni ya kutengeneza chanjo na kuchanja kila aina ya kirusi cha UKIMWI tunaweza utokomeza ndani ya 20 years.
 
Tumemezeshwa kuwa sababu ya kuwa hakuna chanjo ya kirusi cha UKIMWI ni kwa sababu kinabadilikabadilika sana. lakini tumeona jinsi kirusi cha Korona kinavobadilikabadilika lakini bado wanasayansi wanakaza kuendana nacho, kwa kutengeneza chanjo mpya kila siku. natumaini tutakishinda hiki kirusi cha Korona.
Sasa kumbe hata kirusi cha UKIMWI tungeweza pambana nacho namna hiyo, bahati mbaya ugonjwa huo unaathiri sana maskini na wajinga. hivyo huwezi kuta makampuni tajiri kama Pfizer yanashughulika nao.
Hebu Africa ambao tunaathiriwa sana na Ngoma tupambane tupate chanjo. Tukiwa na kampeni ya kutengeneza chanjo na kuchanja kila aina ya kirusi cha UKIMWI tunaweza utokomeza ndani ya 20 years.
Pfizer hawezi kutengeneza cha ya ugonjwa unaowapata mataifa duni yasiyo na pesa, hata kama hakibadiliki
 
Ni kwa sababu Kirusi cha UKIMWI kina hali zote 2 yaani RNA na DNA hivyo ni vigumu sana kuweka kinga kwenye hivyo vitu, la sivyo mtu anakufa. UVIKO 19 ni tofauti kwani unaweza kutegua code kwenye RNA(mRNA)
Ahsante umeongea kitaalam zaidi tuliosoma biology tumekuelewa.Ila niwape siri hata Malaria chanjo inawezekana na Ebola ila ugonjwa huu wa Corona umewagusa wao zaidi.
 
Ni kwa sababu Kirusi cha UKIMWI kina hali zote 2 yaani RNA na DNA hivyo ni vigumu sana kuweka kinga kwenye hivyo vitu, la sivyo mtu anakufa. UVIKO 19 ni tofauti kwani unaweza kutegua code kwenye RNA(mRNA)
umeongea kiufundi sana
 
Back
Top Bottom