vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,381
- 2,523
Hizi ni timu nane ambazo zimepewa nafasi ya kushiriki super league.
1) Tp Mazembe
2) Es Tunis
3) Petro Luanda
4)Horoya
5)Simba
6) Wydad
7) Mamelod
8) Al Ahly
Wakati mashindano haya yanazinduliwa, Simba waliinasibu kuwa ni mashindano ya timu bora tupu ndio zinazoshiriki hayo mashindano, lakini Mazembe alivyofungwa na Yanga nje ndani mkaidharau Mazembe kuwa ni timu mbovu. Kumbe super league zinachukuliwa hadi timu mbovu.
1) Tp Mazembe
2) Es Tunis
3) Petro Luanda
4)Horoya
5)Simba
6) Wydad
7) Mamelod
8) Al Ahly
Wakati mashindano haya yanazinduliwa, Simba waliinasibu kuwa ni mashindano ya timu bora tupu ndio zinazoshiriki hayo mashindano, lakini Mazembe alivyofungwa na Yanga nje ndani mkaidharau Mazembe kuwa ni timu mbovu. Kumbe super league zinachukuliwa hadi timu mbovu.