Kumbe aina hii ya uchawi hata nchi zilizoendelea upo?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,850
155,799
Screenshot_20220912-112033_WhatsApp.jpg

Haya mambo nilidhani yapo Tanzania 🇹🇿 tu na nchi zetu, kumbe ni dunia nzima.

Watu hawataki ufanikiwe kwa namna yoyote, watakuroga kwa maneno yao ya kichawi.

Hata kama sio mchawi, ukisema tu, tutaona kama utafanikiwa, moja kwa moja unakuwa umeingia kwenye kundi la wachawi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom