Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,825
i hope siku imekuwa more brighter!
View attachment 10238
Baada ya miaka mitatu ya kuwa likizo ya kujitakia kutoka kuandika hadithi za "kusisimua" na kufurahisha za visa mbalimbali vya kimapenzi, vitisho na mapambano ninarudi na kisanga kipya ambacho kinatokea kuelekea Siku Kuu ya Muungano. Ni kisa kinachomhusu Clementina, mke wa Waziri mmoja wa serikali iliyoko madarakani. Ni kisa ambacho kitakujia ndani ya siku tano na ni utangulizi wa kisa changu cha kwanza cha kibiashara (commercial work) ambacho kitapatikana kupitia mtandao huu wa JF peke yake. Shigongo once again has been put on notice!!
NB: Jaribuni kuwaalika watu wengine kusoma hapa ili wajiandikishe JF vile vile, msitume tu kwa watu.. watumieni link.
* * *
Should I,should I not?...
well.. can you handle the heat? if you can't don't walk into the kitchen... But if you can.. brace urself for the elements!
Ndo kwanza namaliza hapa.....Nilikuwa nasoma kwa umakini hasa...Jumamosi imeenda murua kabisa...Hapa nasikilizia tu game ya fainali ya UEFA..............Huyu Mjamaika ni kiboko,nadhani hiyo Jumamosi anamaliza kabisa...................Kama Nkwingwa NN vile hahaaaaaaaaaaa
Mitego mitupu!
.... Ngoja tuivuke Ijumaa.
hahahaha wanaume tuwe macho, tusiwatende wake kuepuka balaa.
by the way, ninaliona kosa moja la wanaume ambalo mjamaika feki hakulifanya sana, ni kuweka mavidole kule... bila kuzingatia usafi wa vidole. Mtu ameshika vitu kibao, amesalimiana na watu kibao, ameshika misarafu au noti chafu kibao, bado anatumbukiza vidole kwa mwenzake bila kunawa, na wanawake wenyewe wanaruhusu... hiki ni hatari. Ni somo moja wapo la kujifunza hapa.
Hii hadithi naisoma with fantasies..Ila nipo slow kuisoma kama nameza vile, ha ha
Asante kwa kutuliza kichwa chini na kuitunga,mjamaica ndo wewe?swali TU jamani MKK?
hapana hata kidogo.. ni NN... ila kuna wengine wameshajitolea.
Lol...nafikiria kutuma maombi kwa Invisible nibadili na jina kabisa kutoka NN na kuwa Fredi Mjamaika....sijui wadau wanalionaje hili....
naona umechelewa wewe.. Inabidi uwe shapu.. Kuna mtu atakuwahi hivi hivi!!
View attachment 10238
baada ya miaka mitatu ya kuwa likizo ya kujitakia kutoka kuandika hadithi za "kusisimua" na kufurahisha za visa mbalimbali vya kimapenzi, vitisho na mapambano ninarudi na kisanga kipya ambacho kinatokea kuelekea siku kuu ya muungano. Ni kisa kinachomhusu clementina, mke wa waziri mmoja wa serikali iliyoko madarakani. Ni kisa ambacho kitakujia ndani ya siku tano na ni utangulizi wa kisa changu cha kwanza cha kibiashara (commercial work) ambacho kitapatikana kupitia mtandao huu wa jf peke yake. Shigongo once again has been put on notice!!
nb: jaribuni kuwaalika watu wengine kusoma hapa ili wajiandikishe jf vile vile, msitume tu kwa watu.. Watumieni link.
* * *
sura ya tano wapi mku mmkj? J'mosi c nd'o jana au??
hahahaha wanaume tuwe macho, tusiwatende wake kuepuka balaa.
by the way, ninaliona kosa moja la wanaume ambalo mjamaika feki hakulifanya sana, ni kuweka mavidole kule... bila kuzingatia usafi wa vidole. Mtu ameshika vitu kibao, amesalimiana na watu kibao, ameshika misarafu au noti chafu kibao, bado anatumbukiza vidole kwa mwenzake bila kunawa, na wanawake wenyewe wanaruhusu... hiki ni hatari. Ni somo moja wapo la kujifunza hapa.
Mmhhh
Hivi hujajua mapenzi ni uchafu??
Kama utajali usafi kwenye mapenzi basi utakosa vingi Lol