Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Kama mmeo anakunywa pombe, mpikie vyakula vya protini groupA, na wanga ili apate nguvu
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu wa threads zako za siku zilizopita inaonekana umeshamuathiri huyo mumeo kisaikolojia.

Wanaume wengi wetu hatupendezwi na mwanamke anayeongea saaaana ,jambo la kawaida tu mwanamke ataongea hapo hadi maneno ya juma lijalo atayamaliza.

Kauli pia. Kwa mfano mimi binafsi huwa sivutiwi na mwanamke mwenye kukomandi- fanya hivi!, ww mbona hivi/ vile!, nataka hivi/ kile, nipe hicho/ vile, leta hicho/ kile, sitaki hii/ zile...........kauli mbovu mbovu hazipendezi kwa binadamu.

Ukichanganya hayo yote na ugumu wa upatikanaji wa mkate wa kila siku ni stress moja kwa zote. Kama wakati unaanza nae mahusiano hakuwa hivyo basi unalo jukumu la kuhakikisha unamrejesha kwenye mstari ili muwe wamoja kama mke na mume vinginevyo hicho kimya chake mbeleni chaweza kuwa na athari katika mahusiano yenu
 
Hapana, namkumbusha tu kuwa wanaume ni malaika.
Isipokua cha-p mimi hapa kaka wako wa nguvu.......[emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
tapatalk_1547552950903.jpeg
 
Love is like connecting live-2-live wire but sometimes people we tend to connect wrong wire and hoping to get current to flow, sometimes yes, somehow current can flow but in short time and then stop and problem start, but some people not understand and stick to stick, hoping oneday things can turn to the origin, may be, may be not. But what is matter is to re examine your love to him or his love to you and think outside the box of sex sex sex. I real don't know your relationship but think beyond your problem. You will come up with critical solution. To stand naked before him is not solution. My side.
 
Back
Top Bottom