kiraremapojoni
JF-Expert Member
- Nov 30, 2018
- 391
- 514
njoo pm pleaseMkuu Kiraremapojoni nipe namba yako ya simu please.
njoo pm pleaseMkuu Kiraremapojoni nipe namba yako ya simu please.
Kabla hujapost nikasoma ulicho andika..[emoji23][emoji23]Nimeandika nikafuta
[emoji3][emoji3] siri yako basiKabla hujapost nikasoma ulicho andika..[emoji23][emoji23]
Kwa haya uliyoandika hakika jamaa hataweza hata kusimama dede, stress mi ugonjwa mbaya sana katika mahusiano.Kwanza nimejitahidi kupitia threads zako hapo nyuma kabla ya kukushauri, na nimegundua haya yafuatayo:-
1. Umetawaliwa na hisia kwamba mumeo sio msomi.
2. Unahisi kwamba aina ya kazi anayo ifanya mumeo sio kazi nzuri.
3. Unaumizwa na umasikini na unaonekana una tamaa ya mafanikio.
4. Una ongea sana na kumsema mwanaume wako, hata amefikia hatua ya kukuchukia/hakupendi lakini ameamua kunyamaza tu.
5. Unadanganywa na hisia kwamba wapo wanaume bora zaidi ya huyo mwanaume wako.
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo ni mazito sana. Mie nimekosa kabisa cha kuandika. Mtihani wa kutosha...Nimeandika nikafuta
Kwa kweliHaya mambo ni mazito sana. Mie nimekosa kabisa cha kuandika. Mtihani wa kutosha...
Ha ha ha. Mkuu umetisha! Mambo ya kifo cha wengi harusi sio? Kwakweli nendeni tu mkaliwazaneMkuu pole sana.
Hata mimi wife wangu ananizingua sana kwenye tendo yaani ni mpaka mimi nimuanze kila siku.
Ikitokea nimechuna tu basi nae kimya hata zipite wiki mbili....
Vipi nikucheki ili tupeane pole na faraja zaidi maana imenenwa ndege wafananao huruka pamoja!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee!! kwa kusoma tu mie stimu ishakata sasa sielewi huyo mwanaume nguvu/mood atatoa wapi kama hali ndio hio na labda mwanamama anamuonyesha kabisa juu ya hiyo mitazamo yake! Hata ingekua enzi za babu wa Liliondo ngoma haiwezi amka hio!!Kwanza nimejitahidi kupitia threads zako hapo nyuma kabla ya kukushauri, na nimegundua haya yafuatayo:-
1. Umetawaliwa na hisia kwamba mumeo sio msomi.
2. Unahisi kwamba aina ya kazi anayo ifanya mumeo sio kazi nzuri.
3. Unaumizwa na umasikini na unaonekana una tamaa ya mafanikio.
4. Una ongea sana na kumsema mwanaume wako, hata amefikia hatua ya kukuchukia/hakupendi lakini ameamua kunyamaza tu.
5. Unadanganywa na hisia kwamba wapo wanaume bora zaidi ya huyo mwanaume wako.
Methali 14 : 1-18Aiseee!! kwa kusoma tu mie stimu ishakata sasa sielewi huyo mwanaume nguvu/mood atatoa wapi kama hali ndio hio na labda mwanamama anamuonyesha kabisa juu ya hiyo mitazamo yake! Hata ingekua enzi za babu wa Liliondo ngoma haiwezi amka hio!!
Hakika!!Methali 14 : 1-18
Namimi ninanyege njoo pm tufanye mchakato wakupunguzianaHabari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana hu appreciate kila mumeo anachokufanyia. Yaani umekuwa mlalamishi kwa kila anachofanya so amekukinai. Ameshakutoa kwny system yake, hana tena hisia na wewe na amekuchoka anashindwa tu kukwambia.
Inategemea na kazi anayofanya pia,inaweza kumpa msongo wa mawazo akashindwa kukupa haki yako.Sawa my ntajarbu japo nikimuulza huwa ananijibu eti anakuwa amechoka
Sent using Jamii Forums mobile app