dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,673
unauhakika hunuki k. Mana ile harufu inakataga stimu
unauhakika hunuki k. Mana ile harufu inakataga stimu
DUNIA DUARA KWELI DAHHabari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naona mnazunguka sana, uchumi wa awamu hii ya tano nao ni ugonjwa tosha, mwanaume unapoishiwa mfukoni unapata wapi mambo ya hisia ?Inategemea na kazi anayofanya pia,inaweza kumpa msongo wa mawazo akashindwa kukupa haki yako.
Kwanza nimejitahidi kupitia threads zako hapo nyuma kabla ya kukushauri, na nimegundua haya yafuatayo:-
1. Umetawaliwa na hisia kwamba mumeo sio msomi.
2. Unahisi kwamba aina ya kazi anayo ifanya mumeo sio kazi nzuri.
3. Unaumizwa na umasikini na unaonekana una tamaa ya mafanikio.
4. Una ongea sana na kumsema mwanaume wako, hata amefikia hatua ya kukuchukia/hakupendi lakini ameamua kunyamaza tu.
5. Unadanganywa na hisia kwamba wapo wanaume bora zaidi ya huyo mwanaume wako.
Asante mkuu..[emoji120]
Nimecheka kama mazuri aiseeemi mke wangu hata mwaka anaweza asijiguse mpaka aanzwe yeye eti anadai hajiskii ila sina kazi kwa muda sasa nahis kanichoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatakiwa ummanage kabla hujaoa unakula ovyo minkuna siku dinner inakuwaga mhindi na glass ya maziwa ,ukioa MKE akupikia mamisosi mazuri unakuwa overweight unaharibu ,lakini ukijua kucheza na diet yake na kusimama Kama mke kumshawishi mazoezi mama utakojo*# mpaka useme maisha ndo hayaHeee mi nilijua ukiolewa umejihakikishia full supply ya mgegedo kumbe hamna
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta serengeti boyHabari zenu, naombeni ushauri jamani
Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sasa hivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi.
Nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka, sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala.
Namwambia twende hospitali hataki kwa kweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumiss mpaka mimi nianze usumbufu ndio tufanye.
Naombeni mawazo yenu nifanyeje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria nina nyege hapa nilipo
Amekosa vichocheo vya kuhamsha zile homornes.Habari zenu, naombeni ushauri jamani
Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sasa hivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi.
Nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka, sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala.
Namwambia twende hospitali hataki kwa kweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumiss mpaka mimi nianze usumbufu ndio tufanye.
Naombeni mawazo yenu nifanyeje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria nina nyege hapa nilipo
HahahahaMkuu pole sana.
Hata mimi wife wangu ananizingua sana kwenye tendo yaani ni mpaka mimi nimuanze kila siku.
Ikitokea nimechuna tu basi nae kimya hata zipite wiki mbili....
Vipi nikucheki ili tupeane pole na faraja zaidi maana imenenwa ndege wafananao huruka pamoja!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja pmHabari zenu, naombeni ushauri jamani
Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sasa hivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi.
Nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka, sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala.
Namwambia twende hospitali hataki kwa kweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumiss mpaka mimi nianze usumbufu ndio tufanye.
Naombeni mawazo yenu nifanyeje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria nina nyege hapa nilipo