Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanabahati ila huwa hawazitumii.
Anyway pole sana ungelikuwa kwangu nyege zingekwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana..... Inawezekana akawa Wali Nazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Si ndo mpishi bwana
Mbadilishie menu![emoji23][emoji23][emoji23]

Ukimaliza badilisha mazingira ya chumbani

Halafu na wewe jifanyie mambo unique...

Kuna vitu unaweza kubadili mtu hata kama alinuna mwaka mzima anakutamani ghafla!

Ukishindwa kabisa iamshe ikisimama panda.
Naiamsha vipi mpenzi wakati ukianza tu kumshika hataki anasema kachoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naiamsha vipi mpenzi wakati ukianza tu kumshika hataki anasema kachoka

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mpige mambo ya juice za tende,mchicha wa tangawizi
Parachichi,
Karanga karanga hivi
Ukiona halainiki kuna tatizo!

Wangu akileta visanga nawahi jogoo la alfajiri ikishazama anaitikia mara kashika kiuno mara hivi mara vile....mechi inanoga!!
 
Mkuu kuna mambo mengi sana utapaswa kujibu kabla ya kupokea ushauri........

Mana uzoefu unaonyesha mpk mwanaume akikuambia hivyo basi kuna mambo kadhaa ambayo ameyaona kutoka kwako na hayajampendeza.

1. Je kishawahi kukuhisi au kuona tabia za usaliti ktk mapenzi yenu?

2. Je huwa unasifia vitu/wanaume vy/wa namna gani?

3. Mnapokua faragha au akishatupia bao hilo la kwanza je sura yako na maneno uyanenayo huwaje? Je huwa unamsifia kwa alichokifanya???? Kama hua unaonyesha kukereka kwake kwa kuwahi kukojoa basi bibie sahau kabisa kukojolewa bao la pili na mwenzio.

4. Je ni kwa kiasi gani unaweza kuvumilia hasira zako hata kama umeudhiwa na mwenzi wako? Miongoni wa sifa nyingi ni kuwa mke mzuri ni yule ambae anadhibiti hasira zake pindi anapoudhiwa na mumewe lkn pia ni hodari jikoni na pia ananukia vizuri.

5. Je mwanzo wa mahusiano yenu alikua hivyooo au hali hiyo imebadilika baada ya kuanza kuishi pamoja? Kama hakua hivyo basi angalia nini kilichosababisha mambo yende mrama.

Endelea kutafakari mkuu mengine na kuchukua ushauri wa wadau wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Toka niko naye huwa anaishia bao moja navumilia ila sahivi ndoamezidisha hii wiki ya 3 jamani hatufanyi namtega vya kutosha lakini wapi na sijawahi kumsaliti Mme Wangu na ananipenda sana tu sasa sielewi ana stress au ni ugonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom