Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

tembocard

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
247
Reaction score
124
Habari zenu, naombeni ushauri jamani

Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sasa hivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi.

Nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka, sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala.

Namwambia twende hospitali hataki kwa kweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumiss mpaka mimi nianze usumbufu ndio tufanye.

Naombeni mawazo yenu nifanyeje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria nina nyege hapa nilipo
 
Usimlazimishe kwenda Hospitalini.

Cha kufanya tafuta muda nae (isiwe muda wa kulala/msiwe kitandani) kisha fanya nae mazungumzo ya kina.

Ikiwezekana muombe kutoka nae kimtoko, mkishafika maeneo ya kujidai huku mkiwa mnaendelea kupata maakuli na vinywaji, hapo ndio muda mzuri wa kuanza nae mazungumzo.

Jitahidi sana utakapoanza mazungumzo nae uwe katika hali ya upole na unyenyekevu.

Usimuharakishe, anza nae mazungumzo kwa utaratibu, mtaelewana tu
 
Usimlazimishe kwenda Hospitalini.

Cha kufanya tafuta muda nae (isiwe muda wa kulala/msiwe kitandani) kisha fanya nae mazungumzo ya kina.

Ikiwezekana muombe kutoka nae kimtoko, mkishafika maeneo ya kujidai huku mkiwa mnaendelea kupata maakuli na vinywaji, hapo ndio muda mzuri wa kuanza nae mazungumzo.

Jitahidi sana utakapoanza mazungumzo nae uwe katika hali ya upole na unyenyekevu.

Usimuharakishe, anza nae mazungumzo kwa utaratibu, mtaelewana tu
Sawa my ntajarbu japo nikimuulza huwa ananijibu eti anakuwa amechoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mgonjwa huyo, ama ana upungufu wa nguvu za kiume au ana stress kutokana na ugumu wa maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, upo mkoa gani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nimejitahidi kupitia threads zako hapo nyuma kabla ya kukushauri, na nimegundua haya yafuatayo:-
1. Umetawaliwa na hisia kwamba mumeo sio msomi.
2. Unahisi kwamba aina ya kazi anayo ifanya mumeo sio kazi nzuri.
3. Unaumizwa na umasikini na unaonekana una tamaa ya mafanikio.
4. Una ongea sana na kumsema mwanaume wako, hata amefikia hatua ya kukuchukia/hakupendi lakini ameamua kunyamaza tu.
5. Unadanganywa na hisia kwamba wapo wanaume bora zaidi ya huyo mwanaume wako.
 
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Dada. Njoo kwangu ntakupa Dushe mpala uchoke ww. Dakika 30 hadi 45 ndio raund ya kwana
Round zpo 3 had 4. Kama upo tayar njoo PM
 
Usimlazimishe kwenda Hospitalini.

Cha kufanya tafuta muda nae (isiwe muda wa kulala/msiwe kitandani) kisha fanya nae mazungumzo ya kina.

Ikiwezekana muombe kutoka nae kimtoko, mkishafika maeneo ya kujidai huku mkiwa mnaendelea kupata maakuli na vinywaji, hapo ndio muda mzuri wa kuanza nae mazungumzo.

Jitahidi sana utakapoanza mazungumzo nae uwe katika hali ya upole na unyenyekevu.

Usimuharakishe, anza nae mazungumzo kwa utaratibu, mtaelewana tu
Umeshauri vyema kabisa!!!! Aufanyie kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Si ndo mpishi bwana
Mbadilishie menu!😂😂😂

Ukimaliza badilisha mazingira ya chumbani

Halafu na wewe jifanyie mambo unique...

Kuna vitu unaweza kubadili mtu hata kama alinuna mwaka mzima anakutamani ghafla!

Ukishindwa kabisa iamshe ikisimama panda.
 
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo mkoa gani?? Njoo pm nikushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom