Habari zenu, naombeni ushauri jamani
Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sasa hivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi.
Nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka, sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala.
Namwambia twende hospitali hataki kwa kweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumiss mpaka mimi nianze usumbufu ndio tufanye.
Naombeni mawazo yenu nifanyeje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria nina nyege hapa nilipo
Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sasa hivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi.
Nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka, sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala.
Namwambia twende hospitali hataki kwa kweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumiss mpaka mimi nianze usumbufu ndio tufanye.
Naombeni mawazo yenu nifanyeje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria nina nyege hapa nilipo