Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Mfatilie kama hapigi nyeto bc mnywaji na saiv nguvu zimempungua tiba za asili zipo mshauri kwa upole ikiwezekana mwambie kuwa anatatizo c lazima aende hospitali unaweza kuwa anamuandalia chai ya tangawizi mdalasini na asali na kumwambia afanye mazoezi ya kegel angalia you tube yanafanywaje kingine jiangalie ww unamvutiaje mmeo kihisia au ndyo upo hovyohovyo kuanzia mavazi unayovaa kabla ya kulala mafuta unayojipaka kuzipandisha hisia zake ni ayo2 tu katika mengi
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
WAKUU,

WALA MSIMALIZE MANENO,

HUU UMEANDIKWA NA MWANAUME MWENZETU,
HIVYO WALA MSIJISUMBUE KUFUATANA FARAGHA !!!

"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
 
Back
Top Bottom