Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Mkuu kuna mambo mengi sana utapaswa kujibu kabla ya kupokea ushauri........

Mana uzoefu unaonyesha mpk mwanaume akikuambia hivyo basi kuna mambo kadhaa ambayo ameyaona kutoka kwako na hayajampendeza.

1. Je kishawahi kukuhisi au kuona tabia za usaliti ktk mapenzi yenu?

2. Je huwa unasifia vitu/wanaume vy/wa namna gani?

3. Mnapokua faragha au akishatupia bao hilo la kwanza je sura yako na maneno uyanenayo huwaje? Je huwa unamsifia kwa alichokifanya???? Kama hua unaonyesha kukereka kwake kwa kuwahi kukojoa basi bibie sahau kabisa kukojolewa bao la pili na mwenzio.

4. Je ni kwa kiasi gani unaweza kuvumilia hasira zako hata kama umeudhiwa na mwenzi wako? Miongoni wa sifa nyingi ni kuwa mke mzuri ni yule ambae anadhibiti hasira zake pindi anapoudhiwa na mumewe lkn pia ni hodari jikoni na pia ananukia vizuri.

5. Je mwanzo wa mahusiano yenu alikua hivyooo au hali hiyo imebadilika baada ya kuanza kuishi pamoja? Kama hakua hivyo basi angalia nini kilichosababisha mambo yende mrama.

Endelea kutafakari mkuu mengine na kuchukua ushauri wa wadau wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Si ndo mpishi bwana
Mbadilishie menu![emoji23][emoji23][emoji23]

Ukimaliza badilisha mazingira ya chumbani

Halafu na wewe jifanyie mambo unique...

Kuna vitu unaweza kubadili mtu hata kama alinuna mwaka mzima anakutamani ghafla!

Ukishindwa kabisa iamshe ikisimama panda.
Wewe unayatenda ulioyaandika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la kuendekeza Chipsi mayai ya kisasa, burger, vyoda na vyakula na vinywaji vilaini kama hivyo vinawagharimu sana. Tukiwaambia kuleni dona, mboga za majani, matunda has maparachichi kama tunavyoshindia sisi wengine huku kwetu Mwakaleli, huwezi kusikia chorus kama hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Si ndo mpishi bwana
Mbadilishie menu![emoji23][emoji23][emoji23]

Ukimaliza badilisha mazingira ya chumbani

Halafu na wewe jifanyie mambo unique...

Kuna vitu unaweza kubadili mtu hata kama alinuna mwaka mzima anakutamani ghafla!

Ukishindwa kabisa iamshe ikisimama panda.
Mkuu, hapo kwenye umaliziaji....[emoji39] [emoji39]
Naomba tuonane PM tafadhali....[emoji12] [emoji12]
 
Wewe Si ndo mpishi bwana
Mbadilishie menu!😂😂😂

Ukimaliza badilisha mazingira ya chumbani

Halafu na wewe jifanyie mambo unique...

Kuna vitu unaweza kubadili mtu hata kama alinuna mwaka mzima anakutamani ghafla!

Ukishindwa kabisa iamshe ikisimama panda.

Doh asipoelewa basi tena...huyo ndio Hornet!!!
 
Tatizo la kuendekeza Chipsi mayai ya kisasa, burger, vyoda na vyakula na vinywaji vilaini kama hivyo vinawagharimu sana. Tukiwaambia kuleni dona, mboga za majani, matunda has maparachichi kama tunavyoshindia sisi wengine huku kwetu Mwakaleli, huwezi kusikia chorus kama hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Dona linaongezaje nguvu za kiume??
 
Back
Top Bottom