Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Kulala kitanda kimoja bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu

Ili kitu kisimame me inabidi apate hisia,na ili hisia zije inabidi wewe uwe na mvuto na umuwekee mazingira ya kumtegatega mkiwa maeneo yenu salama yanayowazunguka.Na ili ufanikishe hilo,inabidi udumishe usafi wako binafsi,nyumba,mavazi,kitanda,uwe na lugha ya nyeg n.k tofauti na hapo,wale me wakuchomeka tu bila kuwa na hisia ni wachache au hakuna kabisa.
 
unafikiria kuna atakaekwambia kachepuke.......unatafuta sababu tuu......mwanamke anayo nafasi ya kumtengeneza amendae akawa bora zaidi........kufuck ni kilele cha mahaba........a b c d zenu zikoje....wacha kujichoresha kwa kumdhalilisha mmeo...wewe ndie daktari wake.........
 
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ilitakiwa upate mume kutoka CHAPUTA, hakika usingejuta. Hamna mzembe.
 
Habari zenu naombeni ushauri jamani Mimi na mme wangu tunakaa chumba kimoja kitanda kimoja tunajifunika shuka moja lakini cha kunishangaza sahivi tuna wiki 3 hatujafanya mapenzi nikiwa na hamu nikimuanza ananiambia amechoka sasa sielewi shida ni nini na kipindi cha nyuma tukifanya huwa anakojoa haraka yani ndani ya dk 5 ameshakojoa na harudii tena bao la Pili tunalala namwambia twende hospital hataki kwakweli niko njia panda hata sielewi tatizo ni nini maana hata huko nyuma tukifanya mapenzi ni mpaka Mimi nimuanze yani hawezi hata kusema mke wangu nimekumisi mpaka Mimi nianze usumbufu ndo tufanye. Naombeni mawazo yenu nifanyaje maana hapa na mawazo hata sielewi na ukifikiria Nina nyege hapa nilipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Je mwanzoni alikuwa anafanya mara ngapi au tangu mkae pamoja hali ndo hivyo hivyo?? Nijibu nitakwambia kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cc @espy
Kwanza nimejitahidi kupitia threads zako hapo nyuma kabla ya kukushauri, na nimegundua haya yafuatayo:-
1. Umetawaliwa na hisia kwamba mumeo sio msomi.
2. Unahisi kwamba aina ya kazi anayo ifanya mumeo sio kazi nzuri.
3. Unaumizwa na umasikini na unaonekana una tamaa ya mafanikio.
4. Una ongea sana na kumsema mwanaume wako, hata amefikia hatua ya kukuchukia/hakupendi lakini ameamua kunyamaza tu.
5. Unadanganywa na hisia kwamba wapo wanaume bora zaidi ya huyo mwanaume wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaah kabisa, wao huwa hawakosei kabisa. Yaani ni wao tu wa kutoa siri za ndoa zao humu(ilhali wao ndio wanasifiwa vifua) ila akija mwanamke kutaka ushauri basi atajuta.
Dada, naona umeanza tabia ya kumfundisha wifi wako tabia mbaya eehhh.....
 
Back
Top Bottom