King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,706
- 94,669
Supu yeyote mlevi anapenda ,tena hata ya Makwasukwasu ,mabandama ,mapupu , supu ya ngozi ya ng'ombe yeye twende tu.Kwa nini walevi wengi bongo wanapenda supu ya utumbo?
Supu yeyote mlevi anapenda ,tena hata ya Makwasukwasu ,mabandama ,mapupu , supu ya ngozi ya ng'ombe yeye twende tu.Kwa nini walevi wengi bongo wanapenda supu ya utumbo?
Utumbo mpanaHapa ni utumbo kweli au ni code?
Kama futa la kutosha analo kama kia la Bata linavo tikiswa, kuliwa utumbo ni halali yakeUnaeza kuta mtoa mada hamaanishi utumbo kama utumbo wa kupikwa, ila watu wa jukwaa hili wameshindwa kutafsiri hii code kwa namna mbadala Mwamba 777
Nlijua tu 😃Utumbo mpana
Utumbo mtamu sana bro unakosa uhondo....ni utumbo kweli siyo yale mambo mengine😁😁
Bro acha uhuniUtumbo pekee sili ni ule kama utumbo mpana hivi, ila ule kitabu, ule kama majaruba ya mpunga, ule mgongo sijui... ni balaa ukute umeungiwa mboga za majani na nazi, ugali unasogea
Labda uhuni uniache mimi, nikuacha namuachia nani?Bro acha uhuni
Kivipi Yani au maana yako kiw wote ni wanga?Huo wali unafanana na ugali!
Mambo ni Yapendayo, Mwanza 🔥🔥🔥🔥
Itakuwa, Lucas Mwashambwa anakula sana utumbo.Kuna uhusiano wowote ule kati ya kula utumbo na kuongea utumbo?
Nauliza tu.