Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,428
- 860,221
😀😀😀😀Kwa intejensia ya kawaida tu ni kuwa;
Nyama ya kawaida = Papuchi
Utumbo = Ndogo
😀😀😀😀Kwa intejensia ya kawaida tu ni kuwa;
Nyama ya kawaida = Papuchi
Utumbo = Ndogo
Utumbo unatunza uchafu. Hivyo msile wala kupita nao. Siyo mzuri kiafya. Ninathibitisha hivi nikiwa kama Daktari mbobevu wa mitishamba.Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Hii kitu kule Nzega Tabora wanaita ganagana! Ukipanda huu usafiri ukifika kwenye mlima waendeshaji hawataki kuona abiria unashuka ili umpatie unafuu. Hakika ganagana wanashangaza sana.
Hii ni mchanganyiko wa kiwele laini, dam, nyongo na chumvi huchemshwa kwa pamoja.Mpwa hivi hii ni kitu gani mana huwa naisikia tu?
Tupia kapicha Classmate.Hii ni mchanganyiko wa kiwele laini, dam, nyongo na chumvi huchemshwa kwa pamoja.
Wengi wanaitumia kulia nyama hasa nyama choma wakiamini inaongea ladha na kusaidia mmeng'enyo wa chakula.
Wakazi wa mikoa ya Mara, Maasai, Kanda ya ziwa, Kenya, South Sudan ndio watumiaji sana wa Kichuri
ni utumbo kweli siyo yale mambo mengine😁😁Hapa ni utumbo kweli au ni code?
Ooh. Kuumbe mi basi nikajua ni aina ya chakula. 😀Hii ni mchanganyiko wa kiwele laini, dam, nyongo na chumvi huchemshwa kwa pamoja.
Wengi wanaitumia kulia nyama hasa nyama choma wakiamini inaongea ladha na kusaidia mmeng'enyo wa chakula.
Wakazi wa mikoa ya Mara, Maasai, Kanda ya ziwa, Kenya, South Sudan ndio watumiaji sana wa Kichuri
Mazoe mkuu chukulia Mimi samaki fresh ukimuunga labda niwe ugenini ndo nakula kwangu sili na hawezi pika bila kuweka supu yangu halikadhalika kwenye kuku wangu kienyeji nikichinja kuunga hawezi hata nyama ya mbuzi, ng'ombe hawezi kuniungia.
Ila wao huwa wanaunga hivyo siwaingilii uchaguzi wao.
Mzigo kama huu si unaona hadi unatoa damu? Huu upo pure Bado ukiuchemsha mchemsho wake supu inakuwa kama maziwa nzito nyeupe na mafuta yake.
Changamoto kubwa huko Dar mnapata wamekaa sana kwenye fridge.
Kuna mwaka niliwahi mbishia dada nikimwambia sio sato wetu Hawa kipindi naanza kula wa kwenye majokofu hawana ladha pamoja na kwamba alikuwa anaunga na viungo kedekede Bado hata walinishinda hadi nilipozoea.
View attachment 3579395
Ushauri ukipata mtu anasafiri kwa ndege kutoka mwanza muagize anunua samaki kama huyu huwa hawaribiki zaidi ya masaa5 bila barafu wala Nini akitolea tu utumbo anaweza kauka kabisa
Mwanza-Dar wastani wa 1:30 anafika Bado anautamu wake Kisha chemsha supu hiyo umalizapi Katie ushuhuda kwa mwamposa😂
View attachment 3579396
Utumbo na chapatii 😋😋Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Huo wali unafanana na ugali!Mazoe mkuu chukulia Mimi samaki fresh ukimuunga labda niwe ugenini ndo nakula kwangu sili na hawezi pika bila kuweka supu yangu halikadhalika kwenye kuku wangu kienyeji nikichinja kuunga hawezi hata nyama ya mbuzi, ng'ombe hawezi kuniungia.
Ila wao huwa wanaunga hivyo siwaingilii uchaguzi wao.
Mzigo kama huu si unaona hadi unatoa damu? Huu upo pure Bado ukiuchemsha mchemsho wake supu inakuwa kama maziwa nzito nyeupe na mafuta yake.
Changamoto kubwa huko Dar mnapata wamekaa sana kwenye fridge.
Kuna mwaka niliwahi mbishia dada nikimwambia sio sato wetu Hawa kipindi naanza kula wa kwenye majokofu hawana ladha pamoja na kwamba alikuwa anaunga na viungo kedekede Bado hata walinishinda hadi nilipozoea.
View attachment 3579395
Ushauri ukipata mtu anasafiri kwa ndege kutoka mwanza muagize anunua samaki kama huyu huwa hawaribiki zaidi ya masaa5 bila barafu wala Nini akitolea tu utumbo anaweza kauka kabisa
Mwanza-Dar wastani wa 1:30 anafika Bado anautamu wake Kisha chemsha supu hiyo umalizapi Katie ushuhuda kwa mwamposa😂
View attachment 3579396
Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Sio ajabu, Watu wengi tu hawewezi kula utumbo, makongoro au mkia.Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
nahisi itakuwa ni mapishi make naonaga watu wanasifia sana utumbo ila mi nashindwa na kile kishombo chakeutumbo wa mbuzi na ndizi
hujapikiwa vizuri
hata me kipengele ni harufuWazungu hawawezi kula supu ya kongoro, harufu yake inawashinda.
Mimi nikienda sehemu kunywa supu kwanza naulizia kama Supu ya utumbo wa ng'ombe ipo kama hakuna ndiyo naagiza supu ya nyama ya ng'ombe.
Ukipata Supu ya utumbo tena wanaita ule mgongo ni hatari sheikh.
Kwa nini walevi wengi bongo wanapenda supu ya utumbo?Mimi nikienda sehemu kunywa supu kwanza naulizia kama Supu ya utumbo wa ng'ombe ipo kama hakuna ndiyo naagiza supu ya nyama ya ng'ombe.
Ukipata Supu ya utumbo tena wanaita ule mgongo ni hatari sheikh.