Kula utumbo kama ni kitu imenishinda

Kula utumbo kama ni kitu imenishinda

Back N days

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2026
Posts
317
Reaction score
834
Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .

Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.

Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
 
Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .

Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.


Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Hujampata mpishi wa utumbo wewe😋😋😋
 
Karibu ugali kwa utumbo wa kuku
1000132873.jpg
 
Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .

Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.


Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Utakuwa unatoka Jamii maskini ambazo hazifugi!
 
Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .

Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.


Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Sasa wewe unauliza alafu unapendekeza majibu yako
 
Back
Top Bottom