Babu babu babu enh, hii supuHujampata mpishi wa utumbo wewe😋😋😋
Babu babu babu enh, hii supuHujampata mpishi wa utumbo wewe😋😋😋
Duuuh samaki ni mboga isiyo na mfano wake.Yan hata akiwepo bado hakuna tofauti na mtu kula ugali bila mboga
Yn mm kula ugali na supu yoyote naona kama nakula ugali bila mbogaDuuuh samaki ni mboga isiyo na mfano wake.
Hadi manyoya?Hivi unawafahamu wale jamaa wanaojiita:
"Waja Leo Ila Kuondoka ni Majaaliwa"?
Kwa hao watu Kuku analiwa kila kitu kasoro mlio wake pekee
Ila dagaa unawala bila kutoa utumbo!Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Miguu ya kuku= speedTandale kwetu
Utumbo tunaita cheni bloku
Miguu no 11
Kichwa hedifoni
😀😀😀😀😀
AsanteHuwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Mazoe mkuu chukulia Mimi samaki fresh ukimuunga labda niwe ugenini ndo nakula kwangu sili na hawezi pika bila kuweka supu yangu halikadhalika kwenye kuku wangu kienyeji nikichinja kuunga hawezi hata nyama ya mbuzi, ng'ombe hawezi kuniungia.Yn mm kula ugali na supu yoyote naona kama nakula ugali bila mboga
Utumbo ni healthier kuliko nyama ya kawaida!Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Hahahaha😀Miguu ya kuku= speed
Kichwa cha kuku= Helmet
kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Hahahaha😀
Lol.Hivi unawafahamu wale jamaa wanaojiita:
"Waja Leo Ila Kuondoka ni Majaaliwa"?
Kwa hao watu Kuku analiwa kila kitu kasoro mlio wake pekee
Mpwa hivi hii ni kitu gani mana huwa naisikia tu?Utumbo tu ndio unalalamika namnahii, siku ukila kichuri sindio utafariki kabisa...🤣