Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,995
Habari muda huu Wana JF poleni na majukumu mbalimbali na ramdhani Kareem kwa ndugu zangu waislamu.
Juzi siku ya jumamosi mke wangu alianza kutapika uku akilalamika anajisikia uchovu, leo Imebidi nimpeleke hospital kwa ajili ya vipimo Mana Hali iliendelea vilevile, baada ya vipimo imegundulika ana mimba ya mwezi mmoja hiyo taarifa imenishtua Sana Ila nilivyomuangalia mama N yupo kawaida nahisi alishajigundua Hali yake tokea muda.
Njiani wakati tunarudi hakuna mtu aliomuongelesha mwezake, kitu kinachonipa mawazo tuna mtoto mdogo ana mwaka na miezi 4 na mke wangu mimba ikifika miezi 5 ni kuumwa kila siku je mtoto atapata malezi Bora au nimpeleke kwa Bibi yake.
Niliona dalili kitu kidogo akikosea mtoto anamkaripia wakati hakuwa hivo nyuma.
Naombeni Ushauri Wana JamiiForums.
Juzi siku ya jumamosi mke wangu alianza kutapika uku akilalamika anajisikia uchovu, leo Imebidi nimpeleke hospital kwa ajili ya vipimo Mana Hali iliendelea vilevile, baada ya vipimo imegundulika ana mimba ya mwezi mmoja hiyo taarifa imenishtua Sana Ila nilivyomuangalia mama N yupo kawaida nahisi alishajigundua Hali yake tokea muda.
Njiani wakati tunarudi hakuna mtu aliomuongelesha mwezake, kitu kinachonipa mawazo tuna mtoto mdogo ana mwaka na miezi 4 na mke wangu mimba ikifika miezi 5 ni kuumwa kila siku je mtoto atapata malezi Bora au nimpeleke kwa Bibi yake.
Niliona dalili kitu kidogo akikosea mtoto anamkaripia wakati hakuwa hivo nyuma.
Naombeni Ushauri Wana JamiiForums.