Baada ya mimba ya kwanza kuharibika mke wangu hashiki mimba, nini tatizo

Alejandroz

JF-Expert Member
Feb 14, 2017
327
376
Habari wandugu

Mwaka jana mwezi wa 9 mke wangu alipata tatizo lakuharibika kwa mimba ya miezi mitatu, akapewa dawa na akawa anakandwa na maji ya moto nyumbani baadae akawa anaendelea vizuri

Baada ya hapo hatukutumia kinga yoyote ya ujauzito lakini hadi leo hajapata ujauzito

Mwezi wa 4 tulienda hospitali tukashauriwa kutumia Chromifeni kwaajili ya kuchochea uzalishaji wa mayai kwa siku 14 kuanzia siku ya kwanza anayoingia kwenye siku zake lakini hola

Juzi akawa analalamika maumivu chini ya kitovu na muwasho ukeni, tukaona twende hospitali na tukafanya kipimo cha Utra Sound dokta akasema ana P.I.D hapa tunaendelea na hizo dawa ambazo ni Doxy, Flagyl na Cypro

Je hio P.I.D inaweza ikawa ni sababu pia inayozuia kupata ujauzito,, maana tatizo lilitokea mwaka jana mwezi wa 9 lakin hadi leo hakuna mimba

Au tatizo linaweza kuwa nini hapa,, naomba ushauri wako tafadhari.



Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Habari wandugu

Mwaka jana mwezi wa 9 mke wangu alipata tatizo lakuharibika kwa mimba ya miezi mitatu, akapewa dawa na akawa anakandwa na maji ya moto nyumbani baadae akawa anaendelea vizuri

Baada ya hapo hatukutumia kinga yoyote ya ujauzito lakini hadi leo hajapata ujauzito

Mwezi wa 4 tulienda hospitali tukashauriwa kutumia Chromifeni kwaajili ya kuchochea uzalishaji wa mayai kwa siku 14 kuanzia siku ya kwanza anayoingia kwenye siku zake lakini hola

Juzi akawa analalamika maumivu chini ya kitovu na muwasho ukeni, tukaona twende hospitali na tukafanya kipimo cha Utra Sound dokta akasema ana P.I.D hapa tunaendelea na hizo dawa ambazo ni Doxy, Flagyl na Cypro

Je hio P.I.D inaweza ikawa ni sababu pia inayozuia kupata ujauzito,, maana tatizo lilitokea mwaka jana mwezi wa 9 lakin hadi leo hakuna mimba

Au tatizo linaweza kuwa nini hapa,, naomba ushauri wako tafadhari.



Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Mshana Jr ukuje huku
 
P I D na U T I sugu ni Moja ya vitu ambavyo husababisha matatizo ya mfumo wa uzazi. Tumieni hizo dawa lakini mkipata muda pia mumtafute mkunga wa jadi aangalie Hali ya kizazi kwani baadhi wakizaa au kuharibika mimba kizazi hushuka chini au kugeuka na kuwa mbali na uke hivyo huwa inakuwa ngumu kudaka ujauzito.
 
P I D na U T I sugu ni Moja ya vitu ambavyo husababisha matatizo ya mfumo wa uzazi. Tumieni hizo dawa lakini mkipata muda pia mumtafute mkunga wa jadi aangalie Hali ya kizazi kwani baadhi wakizaa au kuharibika mimba kizazi hushuka chini au kugeuka na kuwa mbali na uke hivyo huwa inakuwa ngumu kudaka ujauzito.
Sawa ndugu

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Habari wandugu

Mwaka jana mwezi wa 9 mke wangu alipata tatizo lakuharibika kwa mimba ya miezi mitatu, akapewa dawa na akawa anakandwa na maji ya moto nyumbani baadae akawa anaendelea vizuri

Baada ya hapo hatukutumia kinga yoyote ya ujauzito lakini hadi leo hajapata ujauzito

Mwezi wa 4 tulienda hospitali tukashauriwa kutumia Chromifeni kwaajili ya kuchochea uzalishaji wa mayai kwa siku 14 kuanzia siku ya kwanza anayoingia kwenye siku zake lakini hola

Juzi akawa analalamika maumivu chini ya kitovu na muwasho ukeni, tukaona twende hospitali na tukafanya kipimo cha Utra Sound dokta akasema ana P.I.D hapa tunaendelea na hizo dawa ambazo ni Doxy, Flagyl na Cypro

Je hio P.I.D inaweza ikawa ni sababu pia inayozuia kupata ujauzito,, maana tatizo lilitokea mwaka jana mwezi wa 9 lakin hadi leo hakuna mimba

Au tatizo linaweza kuwa nini hapa,, naomba ushauri wako tafadhari.



Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Akapime hormone imbalance kwa wanawake sku izi ni tatizo kubwa
 
Mbali na kipimo cha ultrasound alipimwa na hormones?
Mara nyingi mama akishapata ujauzito akazaa ama mimba kuharibika wengi hupata hormonal imbalance.
Akishamaliza hizo dawa mrudishe tena hosp wampime hormones.

Lakini pia mpe mama muda wa kupumzika,stress za kutafuta mimba nyingine nazo zinaweza changia pia.
Poleni
 
Mkuu na wewe achana na michepuko kipindi hiki. Kuna wanawake Malaya Wana mikosi. Ukimgusa tu na wewe anakugawia mikosi.
Lakini pia na wewe uko fiti?
Mara nyingi tunawalaumu wanawake kumbe sisi ndio tunatoa wazungu lege lege.
 
Habari wandugu

Mwaka jana mwezi wa 9 mke wangu alipata tatizo lakuharibika kwa mimba ya miezi mitatu, akapewa dawa na akawa anakandwa na maji ya moto nyumbani baadae akawa anaendelea vizuri

Baada ya hapo hatukutumia kinga yoyote ya ujauzito lakini hadi leo hajapata ujauzito

Mwezi wa 4 tulienda hospitali tukashauriwa kutumia Chromifeni kwaajili ya kuchochea uzalishaji wa mayai kwa siku 14 kuanzia siku ya kwanza anayoingia kwenye siku zake lakini hola

Juzi akawa analalamika maumivu chini ya kitovu na muwasho ukeni, tukaona twende hospitali na tukafanya kipimo cha Utra Sound dokta akasema ana P.I.D hapa tunaendelea na hizo dawa ambazo ni Doxy, Flagyl na Cypro

Je hio P.I.D inaweza ikawa ni sababu pia inayozuia kupata ujauzito,, maana tatizo lilitokea mwaka jana mwezi wa 9 lakin hadi leo hakuna mimba

Au tatizo linaweza kuwa nini hapa,, naomba ushauri wako tafadhari.



Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Habari,

Binafsi huwa napenda vitu basics:

1: Kuwa mjamzito husababisha mabadiliko ya homoni, hii huitaji wiki nne mpaka hata miezi miwili ili mwili kuwa sawa, kutegemea na mhusika.

2: Tendo la kupoteza ujauzito wa miezi mitatu (3), hii humuathiri mzazi mwenzako kisaikolojia na kimwili. Hii huweza kusababisha pia homoni kutokuwa sawa.

3: Stress za kuanza safari ya kuanza kutafuta mtoto mwingine nalo ni zito kwa mhusika. Inaweza kuweka uwiano wa homoni kutokua sawa.

4: Je tunajua kuwa mimba hutungwa ndani ya saa 24/ siku moja ndani ya mwezi? Je kwa mhusika inafahamika ni lini? Umeifanyia kazi.


5: Tumia dawa kulingana na tatizo husika/lililotambuliwa, pata assessment ya mhusika/kuwa sawa, fanyia kwanza hayo hapo juu pamoja na lishe njema, kabla ya kwenda kwenye issue kubwa zaidi ngazi kwa ngazi kulingana na issue yenyewe.
 
Mbali na kipimo cha ultrasound alipimwa na hormones?
Mara nyingi mama akishapata ujauzito akazaa ama mimba kuharibika wengi hupata hormonal imbalance.
Akishamaliza hizo dawa mrudishe tena hosp wampime hormones.

Lakini pia mpe mama muda wa kupumzika,stress za kutafuta mimba nyingine nazo zinaweza changia pia.
Poleni
Nashukuru sana mkuu,, nitalifanyia kazi

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Habari,

Binafsi huwa napenda vitu basics:

1: Kuwa mjamzito husababisha mabadiliko ya homoni, hii huitaji wiki nne mpaka hata miezi miwili ili mwili kuwa sawa, kutegemea na mhusika.

2: Tendo la kupoteza ujauzito wa miezi mitatu (3), hii humuathiri mzazi mwenzako kisaikolojia na kimwili. Hii huweza kusababisha pia homoni kutokuwa sawa.

3: Stress za kuanza safari ya kuanza kutafuta mtoto mwingine nalo ni zito kwa mhusika. Inaweza kuweka uwiano wa homoni kutokua sawa.

4: Je tunajua kuwa mimba hutungwa ndani ya saa 24/ siku moja ndani ya mwezi? Je kwa mhusika inafahamika ni lini? Umeifanyia kazi.


5: Tumia dawa kulingana na tatizo husika/lililotambuliwa, pata assessment ya mhusika/kuwa sawa, fanyia kwanza hayo hapo juu pamoja na lishe njema, kabla ya kwenda kwenye issue kubwa zaidi ngazi kwa ngazi kulingana na issue yenyewe.
Nashukuru sana kwa ushauri mkuu
Hapo kwenye mimba kutungwa siku moja unamaanishaa ile siku ya 14?

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana Kwa changamoto hizi mlizopitia.sikoment mara nyingine,lakini nimekumbuka wakati sisi tunapitia huu wakati nimeona labda niandike machache.
1.mmefanya vizuri kufuatilia Kwa dactari na hatimae wamegundua tatizo.
2.ningeshauri tumieni hizo dawa mpaka atakapopona.
3.baada ya hapo ombeni wameangalie mirija kama Iko open or not.kuna procedure wanafanya nimesahau jina.nikikumbuka nitaandika.
4.inawezekana wakati amepata miscarriage hawakusafisha vizuri,Kwa hiyo mnaweza omba wafanye D & C procedure(dilation and curettage)...ni kama kusafisha kizazi.
Mkimaliza hizi procedures.give yourself time 3 to 4 months.halafu muanze kutafuta Tena.
Kama anapata period vizuri,anunue ovulation kit awe anacheck anafuatilia kila siku na kujua exactly ovulation days.
Mungu atawasaidia.
Kila la kheri
Sawa ndugu nitayafuatilia yote.
Kuhusu hili lakusafishwa kizazi kama kuna kilichobaki si kingeonekana kwenye Utra Sound ndugu?
Naomba nieleweshe hapa tafadhari

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom