Kujiuzuru hutaki lakini.....

Kujiuzuru hutaki lakini.....

Nimeiangalia picha hii kwa umakini saana! Piga ua Ngeleja hapa amelala!
 
Jamani hebu angalia pesa za walala hoi wa Bongo zinavyotafunwa. Huyu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Ngeleja kalipiwa kiasi kingi kuhudhuria mkutano huo nchini Ufaransa. Sasa huyu kweli kaenda kuhudhuria kweli?

03_11_8cu1nz.jpg

JK naye alikwenda kufanya nini huko kwenye mkutano wa mafundi mchundo? hata kama alialikwa kutoa speech, angempa kazi hiyo ngeleja yeye asingekwenda
 
Jamaa waliokaribu na jk ni wahuni tu wa paris, hamna rais mwingine zaidi ya jk. Kongamano la kiuni yaani hata mtendaji wa mtaa wetu angetosha kumuwakilisha jk.
 
Jamani hebu angalia pesa za walala hoi wa Bongo zinavyotafunwa. Huyu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Ngeleja kalipiwa kiasi kingi kuhudhuria mkutano huo nchini Ufaransa. Sasa huyu kweli kaenda kuhudhuria kweli?

03_11_8cu1nz.jpg

Duh kweli JK bingwa wa kuchakachua.. Kuibia mpaka usingizi, anajificha kwa kitabu
 
Jamani hebu angalia pesa za walala hoi wa Bongo zinavyotafunwa. Huyu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Ngeleja kalipiwa kiasi kingi kuhudhuria mkutano huo nchini Ufaransa. Sasa huyu kweli kaenda kuhudhuria kweli?

03_11_8cu1nz.jpg

Ukiangalia picha vizuri ni kama hata yule mzungu aliye nyuma ya aliyevaa headphone anamshangaa 'rais' wetu!!!!! duuh!
 
One sleeping,The other is reading pamphletes while the rests are concentrating
Jamani hebu angalia pesa za walala hoi wa Bongo zinavyotafunwa. Huyu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Ngeleja kalipiwa kiasi kingi kuhudhuria mkutano huo nchini Ufaransa. Sasa huyu kweli kaenda kuhudhuria kweli?

03_11_8cu1nz.jpg
 
Huyo anasinzia, kwani ana shida gani itakayomfanya awaze sie tuendelee kuumia yeye azidi kujiachia kwa raha zake, ila kila jambo lina mwisho wake!
 
Ooops!!
Acheni uonezi!! hao wote waliolala munamuona Waziri wetu tu? Kwani JK alikuwa anafanyanini???? changa la macho tu!! hicho kitabu illikuwa tu kwaajili ya uzoefu!! na hii inamaana kuwa naye usingizi umemzidia na in actual fact alikuwa ameuweka pia!!! hahaha .....
Angalia mtu watatu kuelekea kushoto kwa Mheshimiwa Waziri...yeye ndo kabisa karibia aanze kuota...nadhani huyo mpaka anakoroma...na ukichunguza vizuri wengi walikuwa wameuweka...
Mimi nadhani tatizo nila mchangia mada, lazima atakuwa alikuwa anaboa au anachemsha. Kwani idadi ya waliolala nadhani ni kubwa kama utajiruhusu kuangalia kwa uangalifu!!
 
Anatafakari hoja kwa umakini sana.......🙂, halfu JK hata kumshitua mwenzake...!!!

Yaani mwizi anaweza kumshtua mwizi mwenzake kuwa apunguze speed kuiba??
JK naye huwa ndiyo zake kusinzia, hivyo hawezi kumshtua mwenzake........wote ni waathirika wa ugonjwa uitwao Trypanosomiasis.
 
Hivi ina maana marais wa nchi zingine huwa hawaoni umuhimu wa hii mikutano anayohudhuria Kikwete? Nafikiri ikitokea siku kukawa na mashindano ya kufakamia mihogo au vitumbua duniani, Rais JK alivyo balozi mzuri lazima atahudhuria.
 
Baadae akiiona hii picha atasema alizama katika maombi!!!!!Shame on them who sleep in in legal meetings
 
Hapo mawazo yako kwingine jinsi sakata la Dowans linavyomuumiza kichwa ...
Jinsi wananchi walivyoshikilia msimamo wao wa no kuilipa Dowans ..anachanganyikiwa ....
Huu mgao wa umeme unamchanganya anakosa la kuwadanganya wananchi..
Msongo wa Mawazo umemkosesha amani na kumfanya asinzie...

Jiuzuru basi mheshimiwa !
 
Kama unaweza kupata usingizi mbele ya boss wako (huko Paris) while sensitive issues za maendeleo ya nchi yako zikiwa kwenye discussion (balaaa!!!)

- Vipi wakati mkataba wa buzwagi/dowans utakapowekwa mezani, utasign kutokea usingizini? Utamshauri presidaaa nini?

- Na MKWERE anasoma nini while everybody else is listerning? (but at least he’s AWAKE)

- May be ndo maana MKWERE anahitaji kuhudhuria kila meeting out there as he can’t rely on his Ministers! (hata hizi meetings ambazo he’s the only presidaaaaa, HUH!!!)


image001.png
 
- May be ndo maana MKWERE anahitaji kuhudhuria kila meeting out there as he can't rely on his Ministers! (hata hizi meetings ambazo he's the only presidaaaaa, HUH!!!)


View attachment 24323

may be, lakini was it must/necessary for him to be there na si kamishna wa madini kwa sababu mkutano iliwahusu wataalamu wa madini?
 
Kama unaweza kupata usingizi mbele ya boss wako (huko Paris) while sensitive issues za maendeleo ya nchi yako zikiwa kwenye discussion (balaaa!!!)

- Vipi wakati mkataba wa buzwagi/dowans utakapowekwa mezani, utasign kutokea usingizini? Utamshauri presidaaa nini?

- Na MKWERE anasoma nini while everybody else is listerning? (but at least he's AWAKE)

- May be ndo maana MKWERE anahitaji kuhudhuria kila meeting out there as he can't rely on his Ministers! (hata hizi meetings ambazo he's the only presidaaaaa, HUH!!!)


View attachment 24323

Huyu f**a alikesha disco, ndo maana hakuna linaloendelea kwenye wizara yake!!! :A S 13:
 
lazima waziri alale bana, kwanza jana yake alikesha, halafu asubuhi hii mkuu wake anasoma ilani ya chama wakati wenzake (sio marais) wanasikiliza.
 
This Post has been deleted by M-bongotz

I apologise for any inconvenience caused
 
Back
Top Bottom