Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,281
lazima waziri alale bana, kwanza jana yake alikesha, halafu asubuhi hii mkuu wake anasoma ilani ya chama wakati wenzake (sio marais) wanasikiliza.
Labda na yeye alikuwa kwenye maombi ya kina- kuombea mkutano uwe salama!!!