Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,948
- 709
Jamani hebu angalia pesa za walala hoi wa Bongo zinavyotafunwa. Huyu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Ngeleja kalipiwa kiasi kingi kuhudhuria mkutano huo nchini Ufaransa. Sasa huyu kweli kaenda kuhudhuria kweli?