Baada ya kuona hali inakuwa ngumu kila kukicha nimeamua kutangaza kuuza nyumba. Na wakati huu nimehamia hapa mbezi tangi bovu.
Mbezi kimara sitaki tena hata unipe kiwanja bure sijengi. Nilikata tamaa siku nilipotoka mwenge saa 11 jioni nikafika nyumbani saa sita usiku!!!!
Wachaga endeleeni kukaa huko na mkiendelea kupambana na laana hiyo.
........aaah mazee acha masikhara!......hiyo ni balaa aisee....