Nitafutie nyumba huko nije kuishi huko.vp usafir ukoje huko?siyo sehemu ya kuishi huko bora ya Gongo LA mboto
Mkuu bado hujataka kurudi Mbezi ya Kimara?Baada ya kuona hali inakuwa ngumu kila kukicha nimeamua kutangaza kuuza nyumba. Na wakati huu nimehamia hapa mbezi tangi bovu.
Mbezi kimara sitaki tena hata unipe kiwanja bure sijengi. Nilikata tamaa siku nilipotoka mwenge saa 11 jioni nikafika nyumbani saa sita usiku!!!!
Wachaga endeleeni kukaa huko na mkiendelea kupambana na laana hiyo.
Wataalam waachiwe nini. Hao mainjinia njaa wakitanzania tanroads wanaokula na wachina ili tuendelee kua na barabara zisivyokua na viwango. Shit wataalam. Bora waendelee kuongozwa na wanasiasa.yaan! Ni bora hata wakaz wa mbagala kwan wao usafir s taabu kama mbez kimara.
Nadhan ifikie wakat wataalam, waachiwe kufany yao na wapiga domo wafanye yao( wanasiasa)
Umeshahama Kimara?Wadau wa jf jana nilikua naelekea mbezi nilianzia safari yangu Mwenge saa kumi na nusu jioni, baada ya kuvuka tu taa za Ubungo nikakutana na jam ya ajabu gar haziendi mbele wala nyuma.Nililala nikaamka ndan ya gari lakin ndo kwanza nipo Rombo.
Nilifika Mbezi saa nne na robo usiku.
Matukio haya ni ya kila mara sasa kwenye barabara hii. Mapungufu ni meng kuliko faida kwa sasa. Barabara ni nyembamba sana kupitisha gari mbili hasa ikitokea ajali,hata kama barabara ikikamilika hii kero sitegemei kwisha. Mpaka hapo wadau nataka kujua kuishi Mbezi kimara ni Laana?
Upo mwenge, kwa nini hukupita njia ya chuo kikuu ukapita chuo cha ardhi na kuibukia makongo juu kisha unapiga hadi Goba njia panda kisha inaendelea mpaka mbezi mwisho? Kama daladala bado pale mwenge unapanda Kawe to Mbezi via Goba. Barabara ni mkeka na hamna foleni za kijinga. Kama uko uko sehemu yoyote ya wilaya ya kinondoni na unaenda mbezi louis, kupita ubungo ni kujiweka matatizoni. Mengine mnajitakia tu.Wadau wa jf jana nilikua naelekea mbezi nilianzia safari yangu Mwenge saa kumi na nusu jioni, baada ya kuvuka tu taa za Ubungo nikakutana na jam ya ajabu gar haziendi mbele wala nyuma.Nililala nikaamka ndan ya gari lakin ndo kwanza nipo Rombo.
Nilifika Mbezi saa nne na robo usiku.
Matukio haya ni ya kila mara sasa kwenye barabara hii. Mapungufu ni meng kuliko faida kwa sasa. Barabara ni nyembamba sana kupitisha gari mbili hasa ikitokea ajali,hata kama barabara ikikamilika hii kero sitegemei kwisha. Mpaka hapo wadau nataka kujua kuishi Mbezi kimara ni Laana?
Watu walikuwa wanatukana wataalam bure. Leo ni raha tupu kupitia barabara za michepuko.
Na barabara ya Morogoro inapanuliwa sasa. Kuna watu waliuza viwanja kisa kafoleni ka 2014. Leo wanajuta. Maeneo ya Goba ni hot hot hot kwa viwanja.KWA RAHA ZETU, MWENGE -MAKONGO-GOBA-MAKABE HADI MPIJI HAKUNA FOLENI
Bongo kila mtu ni mhandisi, daktari, mwalimu, mkemia, mfamasia, mchumi, mwalimu wa mpira(kocha) na rubani wa ndege.Watu walikuwa wanatukana wataalam bure. Leo ni raha tupu kupitia barabara za michepuko.
Watanzania kujifanya nao wataalam. Humu tumeona watu ambao nafikiri ni wachoma chips wakidai barabara hata ikitanuliwa, foleni iko pale ple.
Barabara ya morogoro road!?Poleni wote,barabara ya Morogoro road itapumua malori yaliacha kupita huko.Hata hivyo barabara za michepuko ni muhimu kutengenezwa.
Mkiambiwa waliojenga kwenye hifadhi wabomolewe zijengwe njia sita mnapingaWadau wa jf jana nilikua naelekea mbezi nilianzia safari yangu Mwenge saa kumi na nusu jioni, baada ya kuvuka tu taa za Ubungo nikakutana na jam ya ajabu gar haziendi mbele wala nyuma.Nililala nikaamka ndan ya gari lakin ndo kwanza nipo Rombo.
Nilifika Mbezi saa nne na robo usiku.
Matukio haya ni ya kila mara sasa kwenye barabara hii. Mapungufu ni meng kuliko faida kwa sasa. Barabara ni nyembamba sana kupitisha gari mbili hasa ikitokea ajali,hata kama barabara ikikamilika hii kero sitegemei kwisha. Mpaka hapo wadau nataka kujua kuishi Mbezi kimara ni Laana?
Hapa ndani sijawahi kuona project yoyote ya serikali inapata muitikio chanya .Bongo kila mtu ni mhandisi, daktari, mwalimu, mkemia, mfamasia, mchumi, mwalimu wa mpira(kocha) na rubani wa ndege.
Hasa humu JF.