Kwani lazima upite ubungo. Pita goba au kinyerezi ukitaka kuja town.
Huko nako uwe tayari kubadilisha shock ups na mabushi kabla ya muda.siyo suluhisho.
Upo sawa kabisa, lakini mtakoma, si mnalala sana. Kidumu hoyeePole sana mkuu, mie nlishaona hii barabara hata ikikamilika haitaleta suluhisho la muda mrefu. Huu ni ujinga wa wanasiasa kujifanya wataalam na kibaya wataalam wanaongozwa na wanasiasa.
Huko nako uwe tayari kubadilisha shock ups na mabushi kabla ya muda.siyo suluhisho.
Ngoja barabara ikamilike msipoomba kuja kuishi huku kwa mara nyingine
Tuwe wavumilivu hiyo taabu itakwisha na tutasahau! Mambo mazuri hayataki haraka! Tupo ktk mpito
Swali lingine la kujiuliza kulikuwa na haja gani ya kuweka zile kona kali km za kitonga pale kimara mwisho..hadi sasa scania mbili zimeshaanguka na kuua..strabag wanafunga barabara ovyo wanaongeza foleni ovyo
Jamani hamieni kigamboni hakuna shida ya foleni .
Wanajenga daraja sasa hivi kwa hiyo baada ya daraja kuisha mambo yatakua mazuri. Tatizo kila kitu wamesiasisha ndio maana miundo mbinu itabaki kuwa janga la kitaifa .Ah tutahama na nyumba zetu...?
Pantoni lenyewe janga pia...kuna siku nilishuhudia linaelekea ule upande zinazopaki boti za zanzibar......kwa ujumla nchi yetu iko hovyo kwenye swala la usafiri...