steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 11,347
- 13,376
Wakati unaipa hizo heko serikali jua kuwa deni la taifa linazidi kuongezeka pia kwa dollar kukopwa ili supply yake iongezeke na tsh ipande.
Haaaaaaa,kwa hyo kumbe hapa tunaahirisha matatizo tu,ila ugumu upo mbeleni vile vile tu??
Halafu Mkuu Hivi kwa mfano kama mimi ni Raisi na nagoma kulipa deni la Taifa watanifanya nini??