mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,925
- 8,444
Juzi Mlimani City 2100,shilingi itaporomoka tu tena kwani sisi ni wachumia tumbo hatuzalisha chochote zaidi ya kuzalisha mafisadi,muda si mrefu itarudi tena 2300 majuzi kati iliimarika hadi 1600 baada ya siku mbili ikaporomoka 2100 ,wenye madolari yao msikate tamaa ikija safari hii hela yetu ya madafu itaporomoka kwa mwendo wa rocket a hela ya Obama itaruka hadi 2400,ni muda tu.